NANI anataka tutukanane?

rubby110

Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
20
Reaction score
6
NANI anataka tutukanane ili nitoe stress maana sio kwa hzi kazi za kwenda ofisini kwa mwendokasi alafu unasikia mtu ana viwanja 25,maghorofa 7,nyumba 25...

Alafu eti GSM wanatengeneza malori na viberiti eeeh?
 
NANI anataka tutukanane ili nitoe stress maana sio kwa hzi kazi za kwenda ofisini kwa mwendokasi alafu unasikia mtu ana viwanja 25,maghorofa 7,nyumba 25...

Alafu eti GSM wanatengeneza malori na viberiti eeeh?
Rubby......pumbavu wewe.......twende twende......bichwa kama lipumba kazodolewa alivyorudi CUF................twende twende ......hips kama mkoba wa kinyozi.....
 
Hakuna kigezo cha u timamu kuingia mtandaoni, ili mradi ukumbuke jina la mtumiaji na nywila!
 
Mishipa imekutoka mikononi kama umepigwa wiring!
Ngozi nyeusi kama kioo cha flat screen ya sony.
 
Masikio kama sitemirrow za vespa Kudaadeki zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…