Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,440
- 40,534
Unapoangalia Moto unavyoteketeza Mali za watu binanfsi na za umma kwa kukosekana kwa Magari ya zimamoto, unajiuliza ni kwa nini tulitumia fedha nyingi sana kununulia Magari ya maji ya kuwasha badala ya Magari ya Zimamoto ambayo ni ya muhimu zaidi kwenye maisha ya kila siku ya watanzania.
Inapokuwa Mgonjwa (Baraka Elias Mashauri) inashindikana kutibiwa Kwenye Hospitali ya Taifa Mhimbili kwa kukosekana vifaa vya kusaidia kupatiwa tiba, unajiuliza ni kwa nini fedha vya kununulia vifaa hivyo inakosekana ila serikali inazo fedha za kununulia Mashangingi.
Ukiangalia kuanzia utungaji wa sheria, mikakati ya kimaendeleo, mipango ya kiuchumi, na mambo mengine mengi ambayo mwisho wa siku taifa linapata hasara, wali la msingi ni nani hasa anaweka vipaumbele vya taifa letu? Inakuwaje tunatangatanga kama wana Israel walivyokuwa wanatangatanga Jangwani kwa miaka 40 mahali walikoweza kufika kwa siku arobaini tu?
Inapokuwa Mgonjwa (Baraka Elias Mashauri) inashindikana kutibiwa Kwenye Hospitali ya Taifa Mhimbili kwa kukosekana vifaa vya kusaidia kupatiwa tiba, unajiuliza ni kwa nini fedha vya kununulia vifaa hivyo inakosekana ila serikali inazo fedha za kununulia Mashangingi.
Ukiangalia kuanzia utungaji wa sheria, mikakati ya kimaendeleo, mipango ya kiuchumi, na mambo mengine mengi ambayo mwisho wa siku taifa linapata hasara, wali la msingi ni nani hasa anaweka vipaumbele vya taifa letu? Inakuwaje tunatangatanga kama wana Israel walivyokuwa wanatangatanga Jangwani kwa miaka 40 mahali walikoweza kufika kwa siku arobaini tu?