Nani anafadhili Change Tanzania?

Kwani Wewe kuandika hapa umefadhiriwa na Nani? Akili za kimaskini kufikiri kwamba kila kitu ufanyacho lazima ufadhiriwe.
50% ya kila kinachofanyika Tanzania kimefadhiliwa, je Tanzania tuna akili za kimasikini? Pedi unazovaa zimefadhiliwa, je wewe ni masikini? Hata kondom zinazotumika kukutafuna zimefadhiliwa.
 
50% ya kila kinachofanyika Tanzania kimefadhiliwa, je Tanzania tuna akili za kimasikini? Pedi unazovaa zimefadhiliwa, je wewe ni masikini? Hata kondom zinazotumika kukutafuna zimefadhiliwa.
Kumbe ndo maana unaamua kufua hizo kondom ili ukasuguliwe nazo.kwa Mara nyingine sababu ya umaskini?Lakini pia Tabia ya kushare pedi na mama yako mwisho utaambukizwa magonjwa.kuwa makini
 
Wacha wafadhiliwe tu maana wanafanya kazi nzuri sana ila inawauma kweli kijani kibichi a.k.a wapiga mashangazi .
 

Na Mimi naomba Kukuuliza hapa hapa Mkuu kwamba hivi wale ' Wasiojulikana ' nchini Tanzania nao wanafadhiliwa na nani?
 
Serikali ya Magufuli na CCM ndiyo wafadhili wakubwa mkuu usihofu.
 

Nadhani haya ndiyo matokeo ya collective imbecillisation.
 
Swala cio saport kinachoongelewa mnakielewa? Na they are doing concioutization cio harakati. What I discovered ni kuwa makongamano ya kijinga yasiyo na impact positive kwa mtanzania hamuyahoji ila yakikata kwenye mfupa mnarukaruka
Kweli kamanda anaacha kuuliza vitu vya maana kama gari la chama ilikuwaje likaandikishwa jina la Mwenyekiti. Na mwenyekiti YUPO!, Makamanda WAPO! alikina Lema WAPO?
 
Swala cio saport kinachoongelewa mnakielewa? Na they are doing concioutization cio harakati. What I discovered ni kuwa makongamano ya kijinga yasiyo na impact positive kwa mtanzania hamuyahoji ila yakikata kwenye mfupa mnarukaruka
Kweli kamanda anaacha kuuliza vitu vya maana kama gari la chama ilikuwaje likaandikishwa jina la Mwenyekiti. Na mwenyekiti YUPO!, Makamanda WAPO! alikina Lema WAPO?
 
Prof kabugi na polepole
 
Acha umbea na udaku. Sasa ukishamjua uyo mfadhili utafanya nini?
 
Wewe ni miongoni mwa watu wasiopenda ukweli,yani wale wasiotumia critical thinking, bali ni watu wa kumshangilia mtu kwa kila atakachokisema(Watu wa mapokeo)Kwani wewe anayekufadhiri ili uwe shabiki ni nani?Sasa iweje uulize juu ya Maria Sarungi kuwa anafadhiriwa na nani?Kwa ufupi ni kwamba,mfadhiri wa Maria Sarungi anaitwa Maria Sarungi.Hii ndiyo tofauti na wewe ambaye mfadhiri wako ni utashi wa mtu mwingine.
 
Umeshasema taasis in maana imesajiliwa kialali na sio lazima iwe na biashara yenye kuleta faida ili kujiendesha. Kuna vyanzo vingi vyakuendesha taasis na moja ya mashart kwa taasis za tz no transparency ktk vanzo vya mapato.
Naona unaongea kwa kuituhumu utafifkiri hii taasis inafanya hujuma. Watembelee uliza maswali yako yote utajibiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…