lyimogodfrey
New Member
- Sep 17, 2010
- 1
- 0
swali ili limekwisha jibiwa na mwasisi wa Taifa letu Mwalimu Jk Nyelele akihutubia mkoani Mbeya. lkn kwa kuongezea, mtu yule anayeumizwa na umaskini na maendeleo duni ya watanzania, yule anayetambua uwepo wa gap kubwa kati ya maskini na tajiri wa kinzania. muhimum zaidi ni yule anayeamini hakuna sababu za msingi kwa watanzania kuendelea kuwa maskini. y Rwanda waweze sisi tushindwe? eti ukubwa wa nchi?.