Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,917
Kuna shinikizo linaendelea ndani na nje ya CHADEMA kwamba pamoja na mazuri kadhaa aliyoyafanya Freeman Aikaeli Mbowe kama Mwenyekiti wa CHADEMA, umefika wakati sasa wa Mbowe kumwachia Mwanachama mwingine aendeshe chama.
Lakini pamoja na shinikizo hizo bado hakuna jina moja linaloonekana kuungwa mkono na wanachadema wengi kwamba mtu huyo anafaa kuendesha chama. Kuelekea jaribio la kumuua, Tundu Lissu alikuwa ni mmoja wa watu waliokuwa wanatajwa sana kufaa kumrithi Mbowe.
Lakini siku za hivi Karibuni limeibuka kundi kubwa la watu wanaodai kwamba Lissu hana sifa za kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa badala yake aendelee kuwa kwenye nafasi yake ya Mwanasheria wa chama. Jee ni nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa badala ya Mbowe?
KUMBUKA: CCM wanataka Mbowe aondoke wakiwa na Malengo ya kuibomoa CHADEMA, wakati CHADEMA wanataka Mbowe aondoke ili wapate fikra mpya katika kuendesha chama chao.
Lakini pamoja na shinikizo hizo bado hakuna jina moja linaloonekana kuungwa mkono na wanachadema wengi kwamba mtu huyo anafaa kuendesha chama. Kuelekea jaribio la kumuua, Tundu Lissu alikuwa ni mmoja wa watu waliokuwa wanatajwa sana kufaa kumrithi Mbowe.
Lakini siku za hivi Karibuni limeibuka kundi kubwa la watu wanaodai kwamba Lissu hana sifa za kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa badala yake aendelee kuwa kwenye nafasi yake ya Mwanasheria wa chama. Jee ni nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa badala ya Mbowe?
KUMBUKA: CCM wanataka Mbowe aondoke wakiwa na Malengo ya kuibomoa CHADEMA, wakati CHADEMA wanataka Mbowe aondoke ili wapate fikra mpya katika kuendesha chama chao.