Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,831
Mpira wa Afrika mgumu..Ulaya wanaziba njia..huku unakabwa mtuAkiwa kule Genk anafunga balaa, huku sijui inakuwajeee
Mpira wa Afrika mgumu..Ulaya wanaziba njia..huku unakabwa mtuAkiwa kule Genk anafunga balaa, huku sijui inakuwajeee
Nimependa uchambuzi wako. Vivaaa Taifa starsNilishauri siku za nyuma, nashukuru Mungu, Amunike amenisikia. Kombination ya Samatta-Msuva-Bocco inaweza kuipasua defence yoyote ya Africa. Hawa wote ni deadly strikers na wana vitu tofautitofauti sana. Kuna mabavu, kimo na nidhamu ya mchezo (Bocco), kasi na upambanaji (Msuva), na akili na ubunifu wa mpira (Samatta)
Man of the match, bila shaka ni John Rapahel Bocco. Michango mingine iliyotukuka kutoka kwa wachezaji wot walioanza isipokuwa Manula ambaye hakuwa na kazi sana golini. Alilindwa vizuri. Huree Tanzania
Hapo mpaka robo fainali nadhani ni burundi tu ndio watakuwepo maana wapo on fireKweli mkuu.. wanakuja mwishoni kama vikojozi bhana.
Yote kwa yote EAST AFRICA NI ZAMU YETU
BURUNDI
KENYA
UGANDA
TANZANIA.
Nafurahi sana hujui tu.Ndio maana nikasema ameshatajwa. Hakuna mjadala.Kwani tukiendelea kumtaja unaumia??
Kwanza anaonekana alipania sana..akajiamini kupita kiasi.. Lakini Samatta ni mzuri sana timu ikishambulia kupitia kati kuliko pembeni..ila bado alicheza vizuri.
Mpira wa Afrika mgumu..Ulaya wanaziba njia..huku unakabwa mtu