displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,091
BOSS anamwambia sekretari wake:
Wiki hii tutasafiri kwenda Nairobi kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe):
Tunaenda na bosi safari ya kikazi Nairobi kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mchepuko):
Mambo safi, wife anaenda kikazi kwenda Nairobi, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mchepuko) anamwambia mwanafunzi wake wa tution:
wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS):
Baby hakuna tution wiki hii so letz have some fun Bagamoyo.....
BOSS anamwambia sekretari wake:
Safari ya Nairobi imekufa.. nimepata appointment nyingine...
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Nairobi...
MUME (anampigia Mchepuko):
dah! mpenzi, huyu ---- haendi tena.! So hadi next time plz
Mchepuko a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): wiki hii darasa kama kawaida sorry for the inconvinience..
MWANAFUNZI: (anampigia Sugar Dady wake yani BOSS); Darling tuition inaendelea, !!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe safari ya Nairobi iko palepale, ile appointment nyingine imevunjika........itaendelea (ruksa kuendeleza ilipoishia)
NANI ANAYECONTROL HUU MTANDAO..?
MICHEPUKO ni ishu ya kitaa kwa sasa!
cycle ni cycle haha
Wiki hii tutasafiri kwenda Nairobi kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe):
Tunaenda na bosi safari ya kikazi Nairobi kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mchepuko):
Mambo safi, wife anaenda kikazi kwenda Nairobi, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mchepuko) anamwambia mwanafunzi wake wa tution:
wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS):
Baby hakuna tution wiki hii so letz have some fun Bagamoyo.....
BOSS anamwambia sekretari wake:
Safari ya Nairobi imekufa.. nimepata appointment nyingine...
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Nairobi...
MUME (anampigia Mchepuko):
dah! mpenzi, huyu ---- haendi tena.! So hadi next time plz
Mchepuko a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): wiki hii darasa kama kawaida sorry for the inconvinience..
MWANAFUNZI: (anampigia Sugar Dady wake yani BOSS); Darling tuition inaendelea, !!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe safari ya Nairobi iko palepale, ile appointment nyingine imevunjika........itaendelea (ruksa kuendeleza ilipoishia)
NANI ANAYECONTROL HUU MTANDAO..?
MICHEPUKO ni ishu ya kitaa kwa sasa!
cycle ni cycle haha