displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,091
Hood wa sasa si wa enzi zileee; kila biashara huotji ubunifu na matangazo wafikiri cocacola hadi leo wanajitangaza simchezo kumaintain jina!!!!
Enzi hood ndio ilikuw gari yangu ya uhakika lakini si leo, hata dar moro hayupo!
Mara ya mwisho mwaka jana niliota safari ya ghafula nikapanda hapo mtawala kuelekea arusha bus imetoka mbeya na abiria saba tu nikaonea huruma sana ikabidi niulize kondakta akasema mfanyabiashara sababu amezoez kuwa barabarani hana budi hata kwa hasara inabidi aneendelee jenga imani kwa wateja!!! Mzee tulitoka saa kumi na moja tukafika same saa sita usiku tukalala hapo na mbeya express asubuhi radiator ikiamwaga maji yote safari ikaishia hapo ikabidi tufaulishwe!!!
Enzi hood ndio ilikuw gari yangu ya uhakika lakini si leo, hata dar moro hayupo!
Mara ya mwisho mwaka jana niliota safari ya ghafula nikapanda hapo mtawala kuelekea arusha bus imetoka mbeya na abiria saba tu nikaonea huruma sana ikabidi niulize kondakta akasema mfanyabiashara sababu amezoez kuwa barabarani hana budi hata kwa hasara inabidi aneendelee jenga imani kwa wateja!!! Mzee tulitoka saa kumi na moja tukafika same saa sita usiku tukalala hapo na mbeya express asubuhi radiator ikiamwaga maji yote safari ikaishia hapo ikabidi tufaulishwe!!!
