Nani amlaumu mwenzieee..........!!!!!!!!

Bado siwezi mlaumu mtu sababu hii story imeyumba. Katika hali ya kawaida, hata kama nimeachwa ni lazima nitasema mi ndo nimemuacha yule nk, hakuna aliyetayari kuonesha kushindwa hasa kwetu wanaume.
Huyo binti alikaa muda gani toka anaachana na jamaa hadi kufunga ndoa na bosi? Nashawishika kusema bosi ndo aliengineer hiyo separation na akamtafutia makazi kwa staff mwenzie! Na jamaa kilichomponza na jamii imuhukumu nu kutaka aonekane yeye ni mjanja.
Another kisa cha bosi!!!!!!!
 
Jamaa ameona thamani ya bint baada ya bint kuwa Mrs. Bosi? Too late.
 
kwa maelezo uliyotoa huyo kaka aliyetoka Singida ndo mwenye makosa,mpumbavu na mtoto...there is no point kwenda kutagaza decision inayowahusu wawili kwa ofisi.....nampongeza sana Boss kwa hatua yake ya kuona kilicho chema na kukifanya chake bila kukawia....nawatakia maisha mema na yenye baraka tele.AMEN!

Kabisa Michelle....ukinuna wenzio wankula!...na maisha yaliyojaa furaha za kila aina~AMEN
 
hayo yote siyo kitu kwa sababu wote walikuwa wako kwenye uzinzi na huyo boc kafunga ndoa gani hyo ambayo inakubalika kwa Mungi'? Akuna cha kulaumiana hapa ni shetani alikuwa anawachanganya,
 
Back
Top Bottom