MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
Bado siwezi mlaumu mtu sababu hii story imeyumba. Katika hali ya kawaida, hata kama nimeachwa ni lazima nitasema mi ndo nimemuacha yule nk, hakuna aliyetayari kuonesha kushindwa hasa kwetu wanaume.
Huyo binti alikaa muda gani toka anaachana na jamaa hadi kufunga ndoa na bosi? Nashawishika kusema bosi ndo aliengineer hiyo separation na akamtafutia makazi kwa staff mwenzie! Na jamaa kilichomponza na jamii imuhukumu nu kutaka aonekane yeye ni mjanja.
Another kisa cha bosi!!!!!!!
Huyo binti alikaa muda gani toka anaachana na jamaa hadi kufunga ndoa na bosi? Nashawishika kusema bosi ndo aliengineer hiyo separation na akamtafutia makazi kwa staff mwenzie! Na jamaa kilichomponza na jamii imuhukumu nu kutaka aonekane yeye ni mjanja.
Another kisa cha bosi!!!!!!!