Nani aliyefanya haya yafuatayo?

Nani aliyefanya haya yafuatayo?

Midimay

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2015
Posts
3,086
Reaction score
5,142
1. Ujenzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam?
2. Ujenzi wa Barabara ya Dar mpaka Moro?
3. Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa JNIA?
4. Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa KIA?
5. Ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Mwanza?
6. Ujenzi wa barabara ya Chalinze hadi Segera?
7. Ujenzi wa Chuo Cha Taaluma za Kijeshi- Monduli?
8. Ujenzi wa Jengo Jipya la Bunge-Dodoma?
9. Ujenzi wa Barabara ya Moro-Dodoma?
10. Ujenzi wa Bandari ya Tanga?
11. Ujenzi wa bandari ya DSM/
12. Ujenzi wa barabara ya Moro-Iringa?
13. Ujenzi wa bandari ya Mtwara?
14. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Songwe?
15. Ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Arusha?
16. Ujenzi wa Daraja la Mkapa?
17. Ujenzi wa Chuo kikuu cha Dodoma?
18. Ujenzi wa uwanja wa mpira wa Uhuru
19. Ujenzi wa Chuo kikuu cha kilimo Sokoine?
20. Ujenzi wa Chuo kikuu cha Mzumbe?
21. Ujenzi wa hospitali ya AMANA?
22. Ujenzi wa Hospitali ya Muhimbili?
23. Ujenzi wa Hospitali ya Mwananyamala?
24. Ujenzi wa Hospitali ya Temeke?
25. Ujenzi wa Hospitali ya Tumbi?
26. Ujenzi ya Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya nyanda za juu kusini?
27. Ujenzi wa Hospitali ya Benjamen-Mkapa- DODOMA?
28. Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi-Kilimanjaro?
29. Ujenzi wa Barabara ya Arusha-BABATI, MAKUYUNI-KARATU, KARATU-NGORONGORO?
30. UJENZI WA HOSPITALI YA SEKOU TOURE -MWANZA?
31. ujenzi wa MOUNT-MERU HOSPITAL YA MKOA WA ARUSHA/
32. UJENZI WA DODOMA GENERAL HOSPITAL?
33. UJENZI WA MLOGANZILA HOSPITAL?
34. UJENZI WA BARABARA YA DAR-MTWARA?
35. UJE NZI WA HOSPITALI YA MKOA WA TANGA- BOMBO?
36. UJENZI WA CHUO KIKUU CHA ARDHI?
37. UJENZI WA IFM?
38. UJENZI WA MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY?
39. UJENZI WA VYUO VYA WALIMU KILA KANDA NA MIKOA?
40. UJENZI WA BARABARA YA DODOMA-IRINGA?
41. UJENZI WA BARABARA YA ARUSHA-NAMANGA?
42. UJENZI WA BARABARA YA SEGERA-TANGA?
43. UJENZI WA BARABARA YA DODOMABABATI?
44. UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA DODOMA, IRINGA, BUKOBA ETC.
45. UJENZI WA HOSPITALI YA MKOA WA LINDI-SOKOINE?
46. UJENZI WA HOSPITALI YA MKOA WA MBEYA-MBEYA RUFAA?
47. UJENZI WZA HOSPITALI YA MKOA WA KIGOMA-MAWENI?
48. UJENZI WA HOSPITALI YA MKOA WA SINGIDA?
49. UANZISHWAJI WA BARAZA LA TAIFA LA MITIHANI?
 
Hayo yote yalifanyika na mkoloni mwingereza na mjerumani.

Toka uhuru marais wote julius, mwinyi, mkapa na kikwete hawakufanya lolote miaka yao yote.

Ila sasa tunacho chumaa kinapiga kazi balaa kumpokea mkoloni kuijenga nchi yetu
(Alisikika mpiga zumari mmoja wa lumumba)
 
Lengo ni mashabiki wa JPM waone kwamba hawaanzishi Taifa jipya. Kuna mambo mengi yamefanyika hadi Taifa hili limefika hapa. Nimeongelea sana Ujenzi kwa sababu awamu hii tunapenda sana ujenzi na kudhani kwamba ujenzi unaofanyika sasa ni special saaana kiasi cha kusahau hatua tuliopiga kama nchi. Mimi sio muumini wa vipande vipande vya serikali. Mimi naamini katika serikali. Nchi yetu kwa sasa inaonekana kama vile inaongozwa kwa vipande vipande vya serikali. Yaani serikali ya sasa inajinasibu kama vile haina muendelezo kutoka serikali zilizopita. NCHI HUENDELEZWA VIZAZI NA VIZAZI NA WATU WAKE KWA KURITHISHANA.
 
Hiki ni Kipimo tosha kuwa kuna Ongezeko kubwa sana na Ulimwaji na Matumizi makubwa ya Bangi miongoni mwa Watanzania.
 
50. Ujenzi wa chuo cha Jeshi- Msata?
51. Ujenzi wa Chuo cha polisi-CCP-MOSHI?
52. Ujenzi wa shule za msingi kwa kila kijiji?
53. Ujenzi wa shule ya sekondari za O-level kwa kila kata?
54. Ujenzi wa shule za sekondari za A- level kwa kila Tarafa na Wilaya?
55. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha la Mtera?
56. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Kihansi?
57. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Nyumba ya Mungu?
58. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Kidatu?
59. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Hale?
60. Ujenzi wa Mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi pale UMEME PARK-UBUNGO SIO SONGAS.
61. Ujenzi wa kiwanda cha cement cha Twiga cement?
62. Ujenzi wa kiwanda cha nguo cha urafiki?
63. Ujenzi wa kambi ya mafunzo ya kijeshi-Dodoma?
64. Ujenzi wa reli ya TAZARA?
65. Ujenzi wa bomba la Mafuta- TAZAMA?
66. Uanzishwaji wa TANESCO kama shirika la Umeme?
67. Ujenzi wa shirika la karakana ya Jeshi- Nyumbu?
68. Uanzishwaji na ujenzi wa vituo vikuu vya polisi kila mkoa na wilaya?
69. Ujenzi wa Kambi za JKT karibia kila mkoa-TANZANIA?
70. Ujenzi wa Majengo ya Mahakama za hakimu mkazi kila mkoa?
71. Ujenzi wa majengo ya mahakama kuu kila kanda?
72. uanzishwaji wa sarafu yetu baada ya bank ya EAC kuvunjika 1966?
73. Uanzishwaji wa bank kuu ya Tanzaznia?
74. Uanzishwaji wa Range za TAIFA?
75. Ujenzi wa Barabara ya SIngida-tabora?
76. Ujenzi wa barabara ya Nzega- MWANZA?
77. Ujenzi wa barabara ya Mwanza-Musoma-SIRARI?
 
50. Ujenzi wa chuo cha Jeshi- Msata?
51. Ujenzi wa Chuo cha polisi-CCP-MOSHI?
52. Ujenzi wa shule za msingi kwa kila kijiji?
53. Ujenzi wa shule ya sekondari za O-level kwa kila kata?
54. Ujenzi wa shule za sekondari za A- level kwa kila Tarafa na Wilaya?
55. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha la Mtera?
56. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Kihansi?
57. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Nyumba ya Mungu?
58. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Kidatu?
59. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Hale?
60. Ujenzi wa Mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi pale UMEME PARK-UBUNGO SIO SONGAS.
61. Ujenzi wa kiwanda cha cement cha Twiga cement?
62. Ujenzi wa kiwanda cha nguo cha urafiki?
63. Ujenzi wa kambi ya mafunzo ya kijeshi-Dodoma?
64. Ujenzi wa reli ya TAZARA?
65. Ujenzi wa bomba la Mafuta- TAZAMA?
66. Uanzishwaji wa TANESCO kama shirika la Umeme?
67. Ujenzi wa shirika la karakana ya Jeshi- Nyumbu?
68. Uanzishwaji na ujenzi wa vituo vikuu vya polisi kila mkoa na wilaya?
69. Ujenzi wa Kambi za JKT karibia kila mkoa-TANZANIA?
70. Ujenzi wa Majengo ya Mahakama za hakimu mkazi kila mkoa?
71. Ujenzi wa majengo ya mahakama kuu kila kanda?
72. uanzishwaji wa sarafu yetu baada ya bank ya EAC kuvunjika 1966?
73. Uanzishwaji wa bank kuu ya Tanzaznia?
74. Uanzishwaji wa Range za TAIFA?
75. Ujenzi wa Barabara ya SIngida-tabora?
76. Ujenzi wa barabara ya Nzega- MWANZA?
77. Ujenzi wa barabara ya Mwanza-Musoma-SIRARI?
Tuendelee kuorodhesha mpaka ajione yeye ni kama sisimizi kwa watangulizi wake. Uzuri wake Jiwe na wapambe na MATAGA Wanatembea wenyewe humu JF watayakuta.
 
Tatizo jiwe anaona kama yeye kafanya mengi kuliko wenzake na ndio kinachopelekea yeye kushindwa ku appreciate juhudi za wengine.

Ogopa sana mtu akumbatiae yake tuu bila kuona ya wengine ..maana atatoka katika njia sahihi
 
1. Ujenzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam?
2. Ujenzi wa Barabara ya Dar mpaka Moro?
3. Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa JNIA?
4. Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa KIA?
5. Ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Mwanza?
6. Ujenzi wa barabara ya Chalinze hadi Segera?
7. Ujenzi wa Chuo Cha Taaluma za Kijeshi- Monduli?
8. Ujenzi wa Jengo Jipya la Bunge-Dodoma?
9. Ujenzi wa Barabara ya Moro-Dodoma?
10. Ujenzi wa Bandari ya Tanga?
11. Ujenzi wa bandari ya DSM/
12. Ujenzi wa barabara ya Moro-Iringa?
13. Ujenzi wa bandari ya Mtwara?
14. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Songwe?
15. Ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Arusha?
16. Ujenzi wa Daraja la Mkapa?
17. Ujenzi wa Chuo kikuu cha Dodoma?
18. Ujenzi wa uwanja wa mpira wa Uhuru
19. Ujenzi wa Chuo kikuu cha kilimo Sokoine?
20. Ujenzi wa Chuo kikuu cha Mzumbe?
21. Ujenzi wa hospitali ya AMANA?
22. Ujenzi wa Hospitali ya Muhimbili?
23. Ujenzi wa Hospitali ya Mwananyamala?
24. Ujenzi wa Hospitali ya Temeke?
25. Ujenzi wa Hospitali ya Tumbi?
26. Ujenzi ya Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya nyanda za juu kusini?
27. Ujenzi wa Hospitali ya Benjamen-Mkapa- DODOMA?
28. Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi-Kilimanjaro?
29. Ujenzi wa Barabara ya Arusha-BABATI, MAKUYUNI-KARATU, KARATU-NGORONGORO?
30. UJENZI WA HOSPITALI YA SEKOU TOURE -MWANZA?
31. ujenzi wa MOUNT-MERU HOSPITAL YA MKOA WA ARUSHA/
32. UJENZI WA DODOMA GENERAL HOSPITAL?
33. UJENZI WA MLOGANZILA HOSPITAL?
34. UJENZI WA BARABARA YA DAR-MTWARA?
35. UJE NZI WA HOSPITALI YA MKOA WA TANGA- BOMBO?
36. UJENZI WA CHUO KIKUU CHA ARDHI?
37. UJENZI WA IFM?
38. UJENZI WA MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY?
39. UJENZI WA VYUO VYA WALIMU KILA KANDA NA MIKOA?
40. UJENZI WA BARABARA YA DODOMA-IRINGA?
41. UJENZI WA BARABARA YA ARUSHA-NAMANGA?
42. UJENZI WA BARABARA YA SEGERA-TANGA?
43. UJENZI WA BARABARA YA DODOMABABATI?
44. UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA DODOMA, IRINGA, BUKOBA ETC.
45. UJENZI WA HOSPITALI YA MKOA WA LINDI-SOKOINE?
46. UJENZI WA HOSPITALI YA MKOA WA MBEYA-MBEYA RUFAA?
47. UJENZI WZA HOSPITALI YA MKOA WA KIGOMA-MAWENI?
48. UJENZI WA HOSPITALI YA MKOA WA SINGIDA?
49. UANZISHWAJI WA BARAZA LA TAIFA LA MITIHANI?
Bado umeacha mengine mengi
 
78 ujenzi wa reli ya TAZARA
79 Ujenzi wa reli ya kati
80 ujenzi wa miundo mbinu ya maji toka ziwa Victoria mpaka shinyanga
81 ujenzi wa uwanja wa mpira wa taifa
82 ujenzi wa barabara za mwendokasi
83 ujenzi wa bwawa la Mtera
84 ujenzi wa kinyerezi 1 na 2
50. Ujenzi wa chuo cha Jeshi- Msata?
51. Ujenzi wa Chuo cha polisi-CCP-MOSHI?
52. Ujenzi wa shule za msingi kwa kila kijiji?
53. Ujenzi wa shule ya sekondari za O-level kwa kila kata?
54. Ujenzi wa shule za sekondari za A- level kwa kila Tarafa na Wilaya?
55. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha la Mtera?
56. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Kihansi?
57. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Nyumba ya Mungu?
58. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Kidatu?
59. Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme la Hale?
60. Ujenzi wa Mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi pale UMEME PARK-UBUNGO SIO SONGAS.
61. Ujenzi wa kiwanda cha cement cha Twiga cement?
62. Ujenzi wa kiwanda cha nguo cha urafiki?
63. Ujenzi wa kambi ya mafunzo ya kijeshi-Dodoma?
64. Ujenzi wa reli ya TAZARA?
65. Ujenzi wa bomba la Mafuta- TAZAMA?
66. Uanzishwaji wa TANESCO kama shirika la Umeme?
67. Ujenzi wa shirika la karakana ya Jeshi- Nyumbu?
68. Uanzishwaji na ujenzi wa vituo vikuu vya polisi kila mkoa na wilaya?
69. Ujenzi wa Kambi za JKT karibia kila mkoa-TANZANIA?
70. Ujenzi wa Majengo ya Mahakama za hakimu mkazi kila mkoa?
71. Ujenzi wa majengo ya mahakama kuu kila kanda?
72. uanzishwaji wa sarafu yetu baada ya bank ya EAC kuvunjika 1966?
73. Uanzishwaji wa bank kuu ya Tanzaznia?
74. Uanzishwaji wa Range za TAIFA?
75. Ujenzi wa Barabara ya SIngida-tabora?
76. Ujenzi wa barabara ya Nzega- MWANZA?
77. Ujenzi wa barabara ya Mwanza-Musoma-SIRARI?
 
1. Ujenzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam?
2. Ujenzi wa Barabara ya Dar mpaka Moro?
3. Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa JNIA?
4. Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa KIA?
5. Ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Mwanza?
6. Ujenzi wa barabara ya Chalinze hadi Segera?
7. Ujenzi wa Chuo Cha Taaluma za Kijeshi- Monduli?
8. Ujenzi wa Jengo Jipya la Bunge-Dodoma?
9. Ujenzi wa Barabara ya Moro-Dodoma?
10. Ujenzi wa Bandari ya Tanga?
11. Ujenzi wa bandari ya DSM/
12. Ujenzi wa barabara ya Moro-Iringa?
13. Ujenzi wa bandari ya Mtwara?
14. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Songwe?
15. Ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Arusha?
16. Ujenzi wa Daraja la Mkapa?
17. Ujenzi wa Chuo kikuu cha Dodoma?
18. Ujenzi wa uwanja wa mpira wa Uhuru
19. Ujenzi wa Chuo kikuu cha kilimo Sokoine?
20. Ujenzi wa Chuo kikuu cha Mzumbe?
21. Ujenzi wa hospitali ya AMANA?
22. Ujenzi wa Hospitali ya Muhimbili?
23. Ujenzi wa Hospitali ya Mwananyamala?
24. Ujenzi wa Hospitali ya Temeke?
25. Ujenzi wa Hospitali ya Tumbi?
26. Ujenzi ya Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya nyanda za juu kusini?
27. Ujenzi wa Hospitali ya Benjamen-Mkapa- DODOMA?
28. Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi-Kilimanjaro?
29. Ujenzi wa Barabara ya Arusha-BABATI, MAKUYUNI-KARATU, KARATU-NGORONGORO?
30. UJENZI WA HOSPITALI YA SEKOU TOURE -MWANZA?
31. ujenzi wa MOUNT-MERU HOSPITAL YA MKOA WA ARUSHA/
32. UJENZI WA DODOMA GENERAL HOSPITAL?
33. UJENZI WA MLOGANZILA HOSPITAL?
34. UJENZI WA BARABARA YA DAR-MTWARA?
35. UJE NZI WA HOSPITALI YA MKOA WA TANGA- BOMBO?
36. UJENZI WA CHUO KIKUU CHA ARDHI?
37. UJENZI WA IFM?
38. UJENZI WA MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY?
39. UJENZI WA VYUO VYA WALIMU KILA KANDA NA MIKOA?
40. UJENZI WA BARABARA YA DODOMA-IRINGA?
41. UJENZI WA BARABARA YA ARUSHA-NAMANGA?
42. UJENZI WA BARABARA YA SEGERA-TANGA?
43. UJENZI WA BARABARA YA DODOMABABATI?
44. UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA DODOMA, IRINGA, BUKOBA ETC.
45. UJENZI WA HOSPITALI YA MKOA WA LINDI-SOKOINE?
46. UJENZI WA HOSPITALI YA MKOA WA MBEYA-MBEYA RUFAA?
47. UJENZI WZA HOSPITALI YA MKOA WA KIGOMA-MAWENI?
48. UJENZI WA HOSPITALI YA MKOA WA SINGIDA?
49. UANZISHWAJI WA BARAZA LA TAIFA LA MITIHANI?

Hoja yako hapa ni nini Mkuu..?
Funguka zaidi ili upate majibu sahihi..!
 
Mzee Mwinyi ulimi ulimteleza tu,

Ndoto za mchana za Mzee Mwinyi wengine wakachukulia ni kweli wakaanza na kutukana waliotangulia.

AIBU KUBWA.
 
Back
Top Bottom