Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,733
Kwa mnaotunza kumbukumbu, tusaidie kidogo:
Nani aliwahi kuwa RPC wa DSM akatoka vizuri? Turudi hata kabla ya kuwa Kanda maalum ya DSM.
Profile inaonyesha: Ukiwa RPC DSM, usipotumiwa na majambazi, utatumiwa na wanasiasa.
Nani aliwahi kuwa RPC wa DSM akatoka vizuri? Turudi hata kabla ya kuwa Kanda maalum ya DSM.
Profile inaonyesha: Ukiwa RPC DSM, usipotumiwa na majambazi, utatumiwa na wanasiasa.