Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
mzinzi alikula mayai na kuku . Hafai
Wewe unaefaa umekula nini na nini...
mzinzi alikula mayai na kuku . Hafai
nadhani alikuwa KNIGHTED na Queen of England; hiko sio cheo by the way, you get that by doing 'significant' work to help people or if you make a 'notable' impact to the course of humanity; and OF COURSE If YOU are a citizenship of the Commonwealth Country;
Na huyu Sir Juma Nature Kibla Kiroboto?
Malkia
nadhani alikuwa KNIGHTED na Queen of England; hiko sio cheo by the way, you get that by doing 'significant' work to help people or if you make a 'notable' impact to the course of humanity; and OF COURSE If YOU are a citizenship of the Commonwealth Country;
Nyerere baada ya kurudi toka China, alianza kuvaa ki-Mao. Wanasiasa wote wakamwiga (na waka acha baada ya Mwinyi kushika madaraka) isipokua Kahama ambaye aliendelea kuvaa suti. Kwa utani, akiwa amevalia suti, Mwalimu almwita Sir George. Tangu siku hiyo akawa anaitwa hivyo, and he didn't mind. Huyo u Sir hakutumukiwa na Elizabeth II, ALIBANDIKWA na Nyerer
Nyerere baada ya kurudi toka China, alianza kuvaa ki-Mao. Wanasiasa wote wakamwiga (na waka acha baada ya Mwinyi kushika madaraka) isipokua Kahama ambaye aliendelea kuvaa suti. Kwa utani, akiwa amevalia suti, Mwalimu almwita Sir George. Tangu siku hiyo akawa anaitwa hivyo, and he didn't mind. Huyo u Sir hakutumukiwa na Elizabeth II, ALIBANDIKWA na Nyerere
Nyerere baada ya kurudi toka China, alianza kuvaa ki-Mao. Wanasiasa wote wakamwiga (na waka acha baada ya Mwinyi kushika madaraka) isipokua Kahama ambaye aliendelea kuvaa suti. Kwa utani, akiwa amevalia suti, Mwalimu almwita Sir George. Tangu siku hiyo akawa anaitwa hivyo, and he didn't mind. Huyo u Sir hakutumukiwa na Elizabeth II, ALIBANDIKWA na Nyerere
vere interesting thread,ngoja nigande kwenye keyboard hadi kieleweke.
kuvaa ki-mao ni mavazi gan mkuu??
Kwa hyo kumbe ni nyerere ndo alimpa u-sir na wala co malkia??
Wakati bado tukiwa chini ya Ukoloni wa Mwingereza kulikuwa na bunge la Africa Mashariki likijumuisha nchi tatu, na mwanzoni katika hili bunge kulikuwa na uwakilishi wa wazungu na waasia peke yao. Baada ya harakati za ukombozi na kutaka waafrika wajumuishwe kwenye hili bunge (LEGCO) George Kahama ndo alikuwa mwafrica wa kwanza kuingia kwenye hilo bunge kuwawakilisha waafrica. Kwa heshima hiyo Malkia wa UK alimpa jina la Sir.
Nijuavyo Sir George alipewa cheo cha Sir.na malkia kwa kukariri dictionary kuanzia A-Z na maana yake(Oxford Dictionary),mzee anajua kimombo vizuri sana.