Nani aligundua kipimo cha IQ?

Nani aligundua kipimo cha IQ?

IQ ni Corona ipo Dar..wewe unaenda Mkoani tena kijijini.Ukiulizwa unasema upo Likizo.
 
Naunga hoja ya mtoa post:Ni Nani mgunduzi wa IQ-test?hata Nina dukuduku kumfahamu na vigezo alivyotumia
Kweli kabisa, tumechoka kumezeshwa mambo, tufungue fikra zetu tuyaelewe mambo tuliyakuta kwa undani zaidi, naamini tukipata majibu ya kama....
Kwanini yapo,
Ilikuaje yakawepo,
Nani alikuwa wa kwanza kuleta, Wanaendelea kuboreshaje
Wanatumia nini kuboresha.

....katika mambo mengi sana hasa Waafrika tuna uwezo wa kutoka nje ya haya mabox mengi tuliyofungiwa kifikra.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nijuavyo, intelligent quotient ni uwezo wa mtu kuchakata mambo kwa haraka/usahihi.

Haijalishi upo wapi, uwezo wako wa akili utajulikana tu kwa jinsi unamaster mazingira yako.

Kuhusu kipimo, binafsi sikiamini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom