Nani alaumiwe

Nani alaumiwe

MAKUTUPULA

Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
11
Reaction score
1
Watanzania tumekuwa watu wa kulalamika kila kukicha ofisi za Serikali zinazotoa huduma mbaya bila kufuata utaratibu lakini lazima tuangalie nani alaumiwe,watanzania tuko zaidi ya milion 50 lakini wachache sana tunafunya mambo ya msingi bila kupelekeshwa.

Mfano vitambulisho vya NIDA walianza kutoa 2011 lakini kwa ujinga wetu hakuna aliyefuatilia mpaka Tamko limetoka kila kitu bila NIDA hauwezi kupata huduma ndio watu wa naanza kuangaika hivyo kuwapa mzigo NIDA tena mkubwa hivi watu milion 50 wahudumiwe kwa wakati mmoja tena baada ya kusema mwisho kusajili laini mwezi huu watawezaje?

Tukirudi upande wa UHAMIAJI walianza kutangaza kubadilisha pasipoti za zamani kuanzia mwaka jana January 31 na walisema wanatoa miaka 2 zoezi litafungwa kutumia pasipoti za zamani,sasa umebaki mwezi mmoja ndio watu wanakimbilia kubadilisha pasipoti sasa sielewi muda wote miaka miwili watu walikuwa wanasubiria nn kama sio foleni
Ni hoja yangu tu, watanzania tubadilike sio kutoa lawama tu kila siku kwenye tasisi zinazotoa huduma
 
MAKUTUPULA,
Wewe utakua umepita bila kuchaguliwa kwenye serikali za mitaa. Huwezi kukuta mtu aliyechaguliwa na wananchi kwanba anafaa akasema usemayo
 
vitambulisho vya NIDA ni kitu gani??
Mfano vitambulisho vya NIDA walianza kutoa 2011 lakini kwa ujinga wetu hakuna aliyefuatilia mpka Tamko limetoka kila kitu bila NIDA hauwezi kupata huduma ndo watu wa naanza kuangaika hivyo kuwapa mzigo NIDA tena mkubwa hivi watu milion 50 waudumiwe kwa wakati mmoja tena baada ya kusema mwisho kusajili laini mwezi huu watawezaje?
 
Ukisema NIDA ni taasisi/tume ya vitambulisho vya utaifa
Sasa ukisema tena kitambulisho cha NIDA, maanake ni kitambulisho cha hiyo taasisi
 
Back
Top Bottom