Nani alaumiwe, ni CHADEMA au CCM?

Nani alaumiwe, ni CHADEMA au CCM?

Hili swali mbona liko wazi sana?

Bila ya CHADEMA kuleta tabia yao ya maandamano, kukaidi maagizo ya vyombo vya dola na ugaidi sidhani kama raia wa Tanzania wangeuawa na polisi.

Nchi yetu inaendeshwa kwa utawala wa sheria na sio matakwa ya CHADEMA!

Naomba unijibu haya maswali
1. Bomu la Arusha kwenye mkutano CHADEMA walikaidi amri ya nani?
2.Kuteswa kwa Ulimboka na Kibanda hapo napo CHADEMA walikaidi amri ya nani?
 
Hamy D
najua chadema ni watuhumiwa no moja, swali langu ni kwamba serikali mbona imekaa kimya huku inatambua chadema wanakiuka sheria ya haki za binadamu? hebu sema kitu juu ya ukimya wa serikali

Serikali inafata sheria haijakaa kimya na ndio maana unayaona haya:

Baadhi-ya-viongozi-wa-juu-wa-CHADEMA-wakiwa-mahakamani.jpg



Ingekuwa wakati wa yule mzee Dikteta watu kama hao usingejuwa wamepotelea wapi.
 
Dada yangu, Naweza nikasema ukimya wa serikali ni kwa lengo jema tu!
Kwa maana gani; unajua hapa nchini chanzo kikubwa cha kuanzishwa mfumo wa vyama vingi (ukiachilia mbali shinikizo la US kwa hayati mwl Nyerere) ni kupanua wigo wa demokrasia.
HAMY-D, better to remain silent and appear a fool than to open up your mouth and remove all doubt. Kama ningekuwa Invisible ningesema ficha upumbavu wako...hivi ni balaa gani inayowakumba wanaoshabikia CCM?

Mwalimu Nyerere kang'atuka mwaka 1984 na mfumo wa vyama vingi umeanza mwaka 1992, sasa hilo shinikizo alipewa kama nani? Nyie vitoto vilivyozaliwa na kulelewa ndani ya mfumo huu wa kifisadi mna laana si ndogo, kutwa kupayuka ovyo...mnachosha!
 
Hili swali mbona liko wazi sana?

Bila ya CHADEMA kuleta tabia yao ya maandamano, kukaidi maagizo ya vyombo vya dola na ugaidi sidhani kama raia wa Tanzania wangeuawa na polisi.

Nchi yetu inaendeshwa kwa utawala wa sheria na sio matakwa ya CHADEMA!

Nani alikuambia maandamano ni yansababisha fujo au vifo? Watu wanajua fujo na hatimaye vifo vinasababishwa na nani.Siku zote kwenye mikusanyiko isiyoingiliwa na Polisi hakuna fujo.
Na maagizo ya vyombo vya dola vinavyozungumziwa ni yale yasiyo na LOGIC yanayotolewa na viongozi wa CCM kwa woga wao kwa CDM.
Plus; Polisi kufanya kazi kama 'Robots' ndio kunamalizia kabisa ,yaani kuweka pingamizi za mikutano au maandamano bila sababu za msingi, kuwatawanya watu kwa kuwapiga mabomu ya machozi na virungu bila kufikiria ulazima wa kufanya hivyo na hata kutumia risasi za moto kwa mtu mwenye jiwe au chupa ya maji.....Bogas!!
 
HAMY-D, better to remain silent and appear a fool than to open up your mouth and remove all doubt. Kama ningekuwa Invisible ningesema ficha upumbavu wako...hivi ni balaa gani inayowakumba wanaoshabikia CCM?

Mwalimu Nyerere kang'atuka mwaka 1984 na mfumo wa vyama vingi umeanza mwaka 1992, sasa hilo shinikizo alipewa kama nani? Nyie vitoto vilivyozaliwa na kulelewa ndani ya mfumo huu wa kifisadi mna laana si ndogo, kutwa kupayuka ovyo...mnachosha!

Mag3,

Kama hata hilo umeshindwa kulielewa ni wewe ndiye unapaswa kuficha upumbavu wako.

Jifunze historia mkuu, suala la Nyerere kung'atuka na nguvu ya kauli yake TANZANIA ni vitu viwili tofauti.
 
Last edited by a moderator:
Hili swali mbona liko wazi sana?

Bila ya CHADEMA kuleta tabia yao ya maandamano, kukaidi maagizo ya vyombo vya dola na ugaidi sidhani kama raia wa Tanzania wangeuawa na polisi.

Nchi yetu inaendeshwa kwa utawala wa sheria na sio matakwa ya CHADEMA!

Kwa hiyo we unaona Polisi kuua raia ni sawa!

Mbumbumbu kweli wako wengi Tanzani. Ngoja siju moja wamuue babako Au mwanai halafu ndio utuambie Kama ni sawa tu Au si sawa
 
Serikali inafata sheria haijakaa kimya na ndio maana unayaona haya:

Baadhi-ya-viongozi-wa-juu-wa-CHADEMA-wakiwa-mahakamani.jpg



Ingekuwa wakati wa yule mzee Dikteta watu kama hao usingejuwa wamepotelea wapi.

Masikini hata demokrasia hujui. Vyama vingi si hisani ya chama tawala kwa watanzania. vyama vingi viko kikatiba Na kisheria. Enzi za Mwalimu hakukuwa Na katiba wala sheria ya vyama vingi.

Nyie ndio mnaodhani Ukiwa mwanachama Wa chama kingine zaidi ya CCM ni Uhaini!

Ndugu yangu amka usingizini
 
Masikini hata demokrasia hujui. Vyama vingi si hisani ya chama tawala kwa watanzania. vyama vingi viko kikatiba Na kisheria. Enzi za Mwalimu hakukuwa Na katiba wala sheria ya vyama vingi.

Nyie ndio mnaodhani Ukiwa mwanachama Wa chama kingine zaidi ya CCM ni Uhaini!

Ndugu yangu amka usingizini

Enzi za Nyerere ni udikteta tu. Thubutu, ujidai sijui nadai haki, unapotezwa.
 
Back
Top Bottom