Prof Mwaikyusa aliuwawa na Idara ya usalama wa rais wa Rwanda wakishirikiana na TISS. Hii ilikuwa kwa ajili ya kupoteza mwenendo wa kesi aliyokuwa akiisimamia kule ICTR Arusha iliyokuwa ikimuhusu Mtuhumiwa wa mauaji ya Rwanda.Ongeza vifo hivi
f). Gibson Mwaikambo
g). Professor Mwaikyusa
h). Stan Katabalo
i). Horace Kolimba
Wengine endelezeni
Wewe utakuwa siyo wa kwanza kuhama! Khila la kheri uko uendako!
Wewe utakuwa siyo wa kwanza kuhama! Khila la kheri uko uendako!
"Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4"
"Nipeni ushawishi wa kutosha"
wewe akili yako bado changa,haijakomaa na haujawa mtu mzima bado
pili wewe ni mtu wa tamaa tamaa tu
hauna msimamo,
unafuata upepo,unavovuma ukivuma kuelekea kaskazini unageuzwa,na ukielekea kusini nawe umo.
kabla sijajiunga CDM kwa nini mbowe wanasema alimuua Chacha wangwe? kama mbowe ni kweli anahusika au jamaa yeyite wa CDM sasa hii ni hatari chama cha upinzani kisichokua na dola kuua wasiowataka je wakichukua dola anani atamzuia mbowe kuua zaidi? tunaona mafisadi waliokubuhu wa CCM wakiua au kutaka kuua wenzao na hapa wakiwa na network na dola nyuma yao sasa hawa wa CDM inanipa shaka kubwa na kupenda madaraka kwa mbowe et el
Kaka ebu tangaza sera zako za kunishawishi
Samahani sana kama ntakuhudhi,
haya ni maoni yangu toka moyoni na sikushawishiwa na mtu yoyote:
Nikili kwamba mimi ni Mwanachama hai wa CCM na si utani. Chama nilikipenda toka moyoni, Ila kwa kwa sasa nabwaga manyanga Rasmi mimi si mwanachama tena wa CCM. Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4 hapo jijini DSM tena kwa Moyo mmoja kwa kadi No.1267...., tena kutokana na Mapenzi yangu ya dhati kwa Mwl. JK NYERERE. Na alipokufa nilisikitika sana tena sana, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa najiandaa na Mitiana ya Form 4 na tena nilikuwa naumwa typhod kali sana na kidogo iniue! Ila nilijikongoja toka kitandani mpaka pale maeneo ya sanyansi enzi hizo pakijulikana Maji machafu kushuudia mwili wa mwalimu JK NYERERE ukipitishwa hapo. Kiukweli nililia sana na nkazidiwa na kukimbizwa hospital baada ya kuzidiwa ghafla na jua kali lililokuwa limenichapa. Nashukuru mungu aliniepusha na kifo.
SABABU ZA KUTOKA CCM:
1. Jana nimepata tena mshutuko wa ajabu baada ya kusikia kuwa chama changu (CCM) kilihusika katika kifo cha Mshawishi wangu wa kujiunga na CCM (JK NYERERE), kweli nimeumia sana.
2. Hii imepelekea nianze kuanimi maneno ya wapinzani kuwa CCM ni chama cha wauaji, achilia mbalil maswala ya UFISADI, maana Tanzania bila ufisadi haiwezekani, ndo maana kila mtu ni fisadi katika ofisi yake, na hakuna anayeweza kulipinga, maana bila ufisadi hakuna hata mmoja nayeweza kujenga kwa kutumia mishahara yetu. Nisingependa kuegemea katika swala la ufisadi.
3. Hii imenipele niamini kuwa chanzo cha vifo vya watu mbali mbali ndani ya CCM ni Mkono wa CCM wenyewe! Ntatoa mifano Hai:-
(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM
(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM
(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM
(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM
(d) Kifo cha Amina Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM
(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM
(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM
(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM
Na sasa kuna maneno mengine juu ya ugonjwa wa Dr. Mwakyembe na Prof Mwandosya kuwa chanzo ni CCM, Jamani kwanini niendelee kuwa mwanachama wa chama hiki? Tafadhali wana CCM Mliokuwa wenzangu nipeni ushawishi wa kutosha wa kwanini nibaki katika hiki chama na Wapinzani nipeni sela zenye mashiko ya kujiunga na chama chenu la sivyo nakaa bila kuwa mwanachama wa chama chochote katika maisha yangu yote kuanzia leo.
KAPT. KOMBA ALIPATA WAPI TAARIFA MPAKA KUTUNGA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO ALBAM NZIMA NA KUIREKODI, ALIJUAJE KAMA JK NYERERE ATAKUFA? PIA NINA WASI WASI NA KAPT KOMBA ALIJUA MPANGO MZIMA WA KIFO CHA UYU MZEE WETU WA TAIFA.
"NIMEUMIA SANA NA HABARI HII YA MKAPA KUHUSIKA KATIKA KIFO CHA JK.NYERERE NA IMENITOA RASMI CCM"
"MUNGU MLAZE PEMA MWL. JK NYERERE NA TUNAMPENDA SANA, WOTE WALIOHUSIKA WATAHUKUMIWA HAPA HAPA DUNIANI NA UMPE NGUVU MAMA MARIA NYERERE NA FAMILIA YAKE ASIDANGANYIKE KUUKANA HUU UKWELI MAANA WATAMWANDAMA SANA KUPITIA TBC ILI AYAKANE NA KUMKANA V. NYERERE KUWA SI MWANA FAMILA NA AMEKURUPUKA"
"NA MPAKA SASA HAJAKANUSHA"
MyTake:
Changia bila kutukana.
Kuna mtu aliwahi kunieleza kwamba kuna wachawi na washirikina hapa JF niligoma kumwamini akasema angalia thinking ya baadhi ya wanaJF. .....Ushirikina unaotukuzwa kwa kutuaminisha sababu ya vifo hivyo nakiri kwamba kuna walozi hapa JF na mods wakae mkao wa kupigwa juju.
Mkapa ndiye aliyesema Leukemia. Madaktari ni no no no no noi? Sisi tunaamini aliuwa kama hao wengine kwenye list.
kamugisha nakpata vzr sana,we ni mweupe au mtupu kichwani!weka namba yako ya uanachama hapa ya ccm,acha porojo,
Sijaona tusi hapo, ila masaburi!!!!!!!! sina uhakikaNimekwambia changia bila kutukana! Kweli unawaza kwa kutumia M>A>S>A<B>U<R>I
Samahani sana kama ntakuhudhi,
haya ni maoni yangu toka moyoni na sikushawishiwa na mtu yoyote:
Nikili kwamba mimi ni Mwanachama hai wa CCM na si utani. Chama nilikipenda toka moyoni, Ila kwa kwa sasa nabwaga manyanga Rasmi mimi si mwanachama tena wa CCM. Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4 hapo jijini DSM tena kwa Moyo mmoja kwa kadi No.1267...., tena kutokana na Mapenzi yangu ya dhati kwa Mwl. JK NYERERE. Na alipokufa nilisikitika sana tena sana, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa najiandaa na Mitiana ya Form 4 na tena nilikuwa naumwa typhod kali sana na kidogo iniue! Ila nilijikongoja toka kitandani mpaka pale maeneo ya sanyansi enzi hizo pakijulikana Maji machafu kushuudia mwili wa mwalimu JK NYERERE ukipitishwa hapo. Kiukweli nililia sana na nkazidiwa na kukimbizwa hospital baada ya kuzidiwa ghafla na jua kali lililokuwa limenichapa. Nashukuru mungu aliniepusha na kifo.
SABABU ZA KUTOKA CCM:
1. Jana nimepata tena mshutuko wa ajabu baada ya kusikia kuwa chama changu (CCM) kilihusika katika kifo cha Mshawishi wangu wa kujiunga na CCM (JK NYERERE), kweli nimeumia sana.
2. Hii imepelekea nianze kuanimi maneno ya wapinzani kuwa CCM ni chama cha wauaji, achilia mbalil maswala ya UFISADI, maana Tanzania bila ufisadi haiwezekani, ndo maana kila mtu ni fisadi katika ofisi yake, na hakuna anayeweza kulipinga, maana bila ufisadi hakuna hata mmoja nayeweza kujenga kwa kutumia mishahara yetu. Nisingependa kuegemea katika swala la ufisadi.
3. Hii imenipele niamini kuwa chanzo cha vifo vya watu mbali mbali ndani ya CCM ni Mkono wa CCM wenyewe! Ntatoa mifano Hai:-
(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM
(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM
(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM
(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM
(d) Kifo cha Amina Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM
(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM
(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM
(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM
Na sasa kuna maneno mengine juu ya ugonjwa wa Dr. Mwakyembe na Prof Mwandosya kuwa chanzo ni CCM, Jamani kwanini niendelee kuwa mwanachama wa chama hiki? Tafadhali wana CCM Mliokuwa wenzangu nipeni ushawishi wa kutosha wa kwanini nibaki katika hiki chama na Wapinzani nipeni sela zenye mashiko ya kujiunga na chama chenu la sivyo nakaa bila kuwa mwanachama wa chama chochote katika maisha yangu yote kuanzia leo.
KAPT. KOMBA ALIPATA WAPI TAARIFA MPAKA KUTUNGA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO ALBAM NZIMA NA KUIREKODI, ALIJUAJE KAMA JK NYERERE ATAKUFA? PIA NINA WASI WASI NA KAPT KOMBA ALIJUA MPANGO MZIMA WA KIFO CHA UYU MZEE WETU WA TAIFA.
"NIMEUMIA SANA NA HABARI HII YA MKAPA KUHUSIKA KATIKA KIFO CHA JK.NYERERE NA IMENITOA RASMI CCM"
"MUNGU MLAZE PEMA MWL. JK NYERERE NA TUNAMPENDA SANA, WOTE WALIOHUSIKA WATAHUKUMIWA HAPA HAPA DUNIANI NA UMPE NGUVU MAMA MARIA NYERERE NA FAMILIA YAKE ASIDANGANYIKE KUUKANA HUU UKWELI MAANA WATAMWANDAMA SANA KUPITIA TBC ILI AYAKANE NA KUMKANA V. NYERERE KUWA SI MWANA FAMILA NA AMEKURUPUKA"
"NA MPAKA SASA HAJAKANUSHA"
MyTake:
Changia bila kutukana.
Usiweke namba yako halisi utaingia kwenye orodha ya akina kolimba.
Binafsi nakupongeza.
Ta Kamugisha
kama unaona hakuna chama sasa chenye sera ya kukushawishi vipi ukionana na TENDWA ili usajiri chama kipya chenye sera unazo taka mwenyewe.