Nancy Pelosi vs Job Ndugai

Chama mbele halafu nchi inafuata. Hizi ndio akili za kile chama cha kijani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pelosi ni zwazwa kama mwenzake wa TZ.

Kuna namna za kupinga hoja za mtu kwa staha hasa kwenye sehemu tukufu kama bunge ila sio kuchana hotuba, it was childish and senseless.
 
Binafsi nazikubali sana ngebe za DT,
Makofuli hana tofauti na The Blonde!!
 
Kama spika wa bunge alishindwa kukemea live kauli ya bulembo juu ya zitto, kauli ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali ndugu profesa Hasaard ya kwamba bunge Ni dhaifu itaendelea kuthibitika pasipo shaka
 
Wala hujui separation of power haina maana hakuna muhimili wenye nguvu kuliko mwingine. Hapo ni kwamba kila mhimili umepewa madaraka na shughili zake kwenye katiba hakuna mhimili mmoja kuingilia shughuli za mhimili mwingine. Nchi inaweza kuendeshwa bila bunge lakini sio bila serikali au mkuu mwenye kutawala/ kuongoza. Kwa hiyo obvious executive ndio mhimili mkuu wa dola. Huwezi kuta nchi eti kuna bunge lakini haina serikali na kiongozi wa serikali.😅🤭🤭
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…