Namwona Kangi Lugola kwa jicho la tatu kama Waziri na mwanasiasa kutoka chama kama CCM

Shukrani A. Ngonyani

JF-Expert Member
Feb 23, 2014
1,179
2,004
1. Sakata la Lugumi, kukutana nae na kufanya muafaka wa kufunga mashine za kuchukua alama za vidole, ulikuwa mwanzo mzuri.

2. kusimamia nidhamu za askari wa majeshi, mfano kumtoa nje ya kikao kamishina wa magereza.

3. Kama Waziri, kutoa maagizo kwa IGP kuhakikisha mbwa aliyepotea anapatikana ni dalili ya mtu ambaye anataka atumie "his power". ni uthubutu na kuonesha anaweza toa order.

4 Kuonya polisi kutobambikia raia kesi, ni dalili anataka kuleta taswira chanya ktk jeshi la polisi. ni moja kati ya mambo yaliyoleta ufa kati ya polisi na wananchi. ni uamuzi na mwelekeo mzuri.

5. kutangaza ziara ktk vituo vya polisi kujionea mambo ya kiutendaji, ni dalili ana mawazo ya kufanya reform ktk jeshi la polisi na kutengeneza mwanzo mpya wa uwajibikaji.

6. kutoa amri kuwa dhamana itolewe hadi siku za mwisho wa juma (weekend) ni dalili pia, mh. Lugola ana dhamira ya kutaka haki ipatikane kwa wakati na kuondoa mianya ya rushwa nk.

Kwangu nadhani Kangi Anapaswa kusaidiwa, kushauriwa na kutiwa moyo, kuna kitu unaweza ona ndani yake
 
Bila kuwa na mifumo imara ya utawala hawa wanasiasa uchwara wataendelea kudanganya wajinga wengi sana

Huyu Lugola aliyesema mwananchi kufia polisi ni jambo la kawaida tu kama kufia hospitali?!

Huyu huyu lugola aliyepiga marufuku mjadala wa kutekwa Mo ndio unamuona wa maana?!

Hakuna kiongozi wa kiserikali anayetoka kwenye kundi la wanasiasa ukamuamini, hawa wote ni waongo waongo tu, wako kwa ajili ya kulinda maslahi yao siyo ya umma
 
Wengi wapo wanaojitahidi kubadilisha mazoea na kuingia katika nidhamu na ubinadamu, lakini kinachokwamisha ni wengi wa watu bado wanaona ugali wanaukosa

Kama watapatikana wa chini yao ambao wanataki haki ipatikane kila mahali kwa kweli tungefika mbali.

Tatizo ni tamaa zinazowapelekea wengine kuona kama kuomba rushwa ni lazima na ni haki yao, au kuwa wakorofi unapowakuta ofisini badala ya kuwa watiifu katika kazi zao.

Sio wote wabaya hasha bali wapo ambao ni sikio la kufa.

Waziri anapotoa maagizo ni lazima wa chini wajiongeze na kupiga mstari
 
Bila kuwa na mifumo imara ya utawala hawa wanasiasa uchwara wataendelea kudanganya wajinga wengi sana

Huyu Lugola aliyesema mwananchi kufia polisi ni jambo la kawaida tu kama kufia hospitali?!

Huyu huyu lugola aliyepiga marufuku mjadala wa kutekwa Mo ndio unamuona wa maana?!

Hakuna kiongozi wa kiserikali anayetoka kwenye kundi la wanasiasa ukamuamini, hawa wote ni waongo waongo tu, wako kwa ajili ya kulinda maslahi yao siyo ya umma
Huyu lugola aliyesema watu wanaopotea/kutekwa kuwa wanakimbia majukumu ya kutunza familia
 
Suluhu ya matatizo ya Watz ni KATIBA MPYA na si hawa Wanasiasa Uchwara toka Chama cha Mafisi(CCM) kilichokaa madarakani zaidi ya nusu karne leo!!!! Si Magufuli,Lugola au awaye yeyote!
 
1. Sakata la Lugumi, kukutana nae na kufanya muafaka wa kufunga mashine za kuchukua alama za vidole, ulikuwa mwanzo mzuri.

2. kusimamia nidhamu za askari wa majeshi, mfano kumtoa nje ya kikao kamishina wa magereza.

3. Kama Waziri, kutoa maagizo kwa IGP kuhakikisha mbwa aliyepotea anapatikana ni dalili ya mtu ambaye anataka atumie "his power". ni uthubutu na kuonesha anaweza toa order.

4 Kuonya polisi kutobambikia raia kesi, ni dalili anataka kuleta taswira chanya ktk jeshi la polisi. ni moja kati ya mambo yaliyoleta ufa kati ya polisi na wananchi. ni uamuzi na mwelekeo mzuri.

5. kutangaza ziara ktk vituo vya polisi kujionea mambo ya kiutendaji, ni dalili ana mawazo ya kufanya reform ktk jeshi la polisi na kutengeneza mwanzo mpya wa uwajibikaji.

6. kutoa amri kuwa dhamana itolewe hadi siku za mwisho wa juma (weekend) ni dalili pia, mh. Lugola ana dhamira ya kutaka haki ipatikane kwa wakati na kuondoa mianya ya rushwa nk.

Kwangu nadhani Kangi Anapaswa kusaidiwa, kushauriwa na kutiwa moyo, kuna kitu unaweza ona ndani yake
tatizo ni mwanasiasa.
wanasiasa 99% hususani walio serekalini ni wanafiki.

hawa hawana tofauti na changudoa anayeweza kusema na kujiapiza kuwa yeye ni bikra!
 
Bila kuwa na mifumo imara ya utawala hawa wanasiasa uchwara wataendelea kudanganya wajinga wengi sana

Huyu Lugola aliyesema mwananchi kufia polisi ni jambo la kawaida tu kama kufia hospitali?!

Huyu huyu lugola aliyepiga marufuku mjadala wa kutekwa Mo ndio unamuona wa maana?!

Hakuna kiongozi wa kiserikali anayetoka kwenye kundi la wanasiasa ukamuamini, hawa wote ni waongo waongo tu, wako kwa ajili ya kulinda maslahi yao siyo ya umma
Aliwahi kusema polisi haiwezi kumtafuta mtu aliyeenda kutafuta maisha mbali......akimaanisha Gwanda!
 
Watu gani hawa!? Kila wanapopata nafasi ya kuongea na watumishi wa Umma kazi yao kuwananga tu ati hapa mnafanya kazi kwa ilani ya chama cha mapinduzi. C2PD.
 
Vyote anavyofanya nikatika kutafuta sifa tuu.na sidhani kama kuna kitu amesimamia na kikafanikiwa zaidi ya maneno tuu yakutafuta sifa.
 
Back
Top Bottom