kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,302
wanaume huwa hatuulizi hilo swali nyakati hizi broo kama umempenda angalia mbeleWakuu habari zenu,
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Kuna bint tumefahamiana muda kidogo. Nimevutiwa naye...
Ni msomi wa elimu ya juu shahada ya utabibu wa binadam yaani bado anasoma hapahapa mjini Daslam. Ni mtu wa dini sana na ananiinspire mimi pia. Umri wake ni 22 tu. Hatujawahi kufanya lolote la kumchukiza Mungu na hataki kusikia hata kidogo.
Huyu bint katika mazungumzo amenificha kama aliwahi kuwa na mtu kabla. Mimi binafsi niligundua mwenyewe kuna mtu walikua wanaitana babe babe kama mimi na yeye kwa sasa tunavyoitana.
Nishamuuliza mara nyingi kama yeye ni bikra hataki kusema. Swali, huyu anaweza kuwa bikra? Kwa maana yuko radhi kuvunja uhusiano na mimi kama nikiforce mchezo mchafu, alishaniambia. Yule jamaa wa mwanzo inawezekana waliachana kwa sababu hii? Maana huwa hapendi kuzungumzia suala hilo la huyo ez wake.