PrincessAnne
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 1,875
- 2,229
[emoji28] [emoji28] [emoji28]Embu tuma na wewe pic yako ya sasa itakuwa rahisi tukionana nae tumuonyeshe unavyofanania kwa sasa.
Inaonekana alikuwa anakusugua vizuri yaan kuranda kote nje ya nchi bado umerudi unamtafuta yeye tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha ubaguzi lol...
Humuoni bashe?
Unajuwa maana ya uraia?
Jifunze kutofautisha uasili wa MTU na uraia wake.
Tuko watanzania wengi wenye asili tofauti na watanzania asilia.
Tumezaliwa Tanzania wazazi wetu pia na babu zetu walizaliwa nchini japo kwa nje twaonekana rangi zetu sio sawa na wale waasili kabisa.
Acha ubaguzi
Jamaa ameolewa Mombasa, trust me [emoji6]Jamani tuache masihara niko serious mwenzenu
Haaaa binafsi nimehisi hivyowengine tuliopitia mafunzo ya upelelezi na ujasusi tunajua unalotafuta..pole mlioiingia chaka. huyu anasakwa kwa rb fulani.
kwa nini mtafutaji ambaye ni member wa siku nyingi hapa JF hakutumia ID yake badala yake kafungua mpya na hapo hapo kaleta bandiko hili.
watu kama sisi tuliojiunga kitambo JF tunajua mengi.
soon jamaa mtamsikia mahakamani
mbarikiwe
hahahaha mkuu unanivunja mbavuUtakuwa umeliwa 0713. Hao watu walivyokosa huruma na binadamu wenzao ww unapata wapi nguvu ya kuwatafuta. Au unataka kuwa mke wa al-shabab?
[emoji38][emoji38][emoji38]Made in Kazakhstan.
Wewe mkorofi [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Duuuwengine tuliopitia mafunzo ya upelelezi na ujasusi tunajua unalotafuta..pole mlioiingia chaka. huyu anasakwa kwa rb fulani.
kwa nini mtafutaji ambaye ni member wa siku nyingi hapa JF hakutumia ID yake badala yake kafungua mpya na hapo hapo kaleta bandiko hili.
watu kama sisi tuliojiunga kitambo JF tunajua mengi.
soon jamaa mtamsikia mahakamani
mbarikiwe
Au pale sokota kwenye ule mgahawa wao karibia na msikiti wanaojaa wenye asili hìyoNenda Mtaa wa Yombo Temeke mitaa ya Super Rose Bar utapata mawasiliano yake.