dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,831
- 20,344
Na wewe ni mhanga haya pole maana naona nimetupa jiwe gizani,Acha ubaguzi lol...
Humuoni bashe?
Unajuwa maana ya uraia?
Jifunze kutofautisha uasili wa MTU na uraia wake.
Tuko watanzania wengi wenye asili tofauti na watanzania asilia.
Tumezaliwa Tanzania wazazi wetu pia na babu zetu walizaliwa nchini japo kwa nje twaonekana rangi zetu sio sawa na wale waasili kabisa.
Acha ubaguzi
Dooh [emoji23] [emoji23]
Kama namjua vileeeee...
Kwao temeke?
Anapendelea kusafiri na magari makubwa nje ya nchi like zambia, etc?
Jina lake laanzia na Abdul?
Kuna clip moja ya wapiganaji wa alshabaab ngoja niicheki vzr kuna mmoja amefanana naeNi kitambo hatujawasiliana kutokana na mimi kwenda kusoma nje ya nchi
Nimemtafuta kwa social network lkn hayuko active mana last status ni ya miezi tisa nyuma
Kwa yeyote anayemfahamu huyu m2 ani pm
Embu tuma na wewe pic yako ya sasa itakuwa rahisi tukionana nae tumuonyeshe unavyofanania kwa sasa.Ni kitambo hatujawasiliana kutokana na mimi kwenda kusoma nje ya nchi
Nimemtafuta kwa social network lkn hayuko active mana last status ni ya miezi tisa nyuma
Kwa yeyote anayemfahamu huyu m2 ani pm
umesha wahi kurogwa ? Kile kirogo cha kukufanya umchukie handsome wako unipende Dududaya kama mimi?
Wewe yule wa kwako wa JF unafahamu kwao?Haupajui kwake/kwao?
Umejaribu kuwauliza watu wasijulikana? [emoji15] [emoji134] [emoji56] [emoji61]Hapana temeke cijafika sina jamaa huko tulikuwa tunakutana maeneo mengine na namba yake ilokuwa inaisha na ***6888836 haipo hewani
Mkuu punguza ukali wa manenoUtakuwa umeliwa 0713. Hao watu walivyokosa huruma na binadamu wenzao ww unapata wapi nguvu ya kuwatafuta. Au unataka kuwa mke wa al-shabab?
huy mkimbiz alirudishwa kwao kweny mabomNi kitambo hatujawasiliana kutokana na mimi kwenda kusoma nje ya nchi
Nimemtafuta kwa social network lkn hayuko active mana last status ni ya miezi tisa nyuma
Kwa yeyote anayemfahamu huyu m2 ani pm