Namtafuta rafiki yangu wa chuoni

Namtafuta rafiki yangu wa chuoni

iddhassan

Senior Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
100
Reaction score
134
Namtafuta rafiki yangu wa chuoni tulisoma nae Butimba TTC Mwanza tuliachana mwaka 1990.

Anaitwa ALLAN MSHAMBA, KABILA MPARE WA GONJA. Alipangwa kufundisha mkoa fulani ambao siujui.

Naomba tuwasiliane 0653141189
 
Enzi hizo. Hapa Butimba, Kule Bugando nursing, halafu kuleee Nyegezi Social Training Institute! Mwanza ilikuwa tamu sana!
 
Achana na marafiki wa aina hiyo utakaribisha wanyonyaji tu,Leo utaletewa kadi,Leo mchango wa ugonjwa Mara cjui nn!achana nae ishi vzr na majirani zako
 
Sir allan atakuwa anajiandaa kustaafu huyo. Jf ina mwakilishi kila nyumba kumi. Utapata majibu hasa jtatu watu wa tamisemi na utumishi wakichungulia kwenye mifumo yao.
 
Back
Top Bottom