Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Mrefu kiasi,si mnene si mwembamba,si mweupe sana,mwenye mvuto wa asiri na si wa mkorogo
awe mkristu dhehebu lolote,anayejiheshimu na anayemtii Mungu
awe na certificate ama diploma akiwa na kazi ni poa sana
asiwe na mtoto tayari na awe na umri kati ya 21-25,kwa madada aliye tayari nitapenda sana ukanipm,hukohuko ntatoa wasifu wangu pia.
Namaanisha ndugu zangu,kikweli ninahitaji.
awe mkristu dhehebu lolote,anayejiheshimu na anayemtii Mungu
awe na certificate ama diploma akiwa na kazi ni poa sana
asiwe na mtoto tayari na awe na umri kati ya 21-25,kwa madada aliye tayari nitapenda sana ukanipm,hukohuko ntatoa wasifu wangu pia.
Namaanisha ndugu zangu,kikweli ninahitaji.