Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,749
- 1,311
Marry Hunbig naomba sikiliza kilio cha mtoto wa mwanamke mwenzio na uache siasa za kwenye baibo.
Salamu zenu wakuu,
husika na kichwa cha Thread hapo juu,
Huyu member bana amekuja siku sio nyingi ila ukweli ni kwamba kila nilipokua napita navutika kwake.
Duuh for the first time nimedondokea kwenye dimbwi la kwake. Nipo hoooii sijiwezi mwenzie.
Pliz mama wewe nipatie nafasi kwenye mtima wako. Madame B, Mr. Rocky, kaka ErickB52, embu nitafutieni huyu mtu. Mkimwona Mwambieni Nimemdondokea.
Nawasilisha.
Biblia inasema katika Wimbo ulio Bora 3:5-"Nawasihi enyi binti za Yerusalemu,
kwa paa na kwa ayala wa porini,
Msiyachochee mapenzi,wala kuyaamsha,
Hata yatakapoona vyema yenyewe".
Sasa,mie mapenzi bado hayajaona vyema,na sipo tayari kwa relationship kwa sasa.
Yatakapoona vyema,nitakufikiria.
Biblia inasema katika Wimbo ulio Bora 3:5-"Nawasihi enyi binti za Yerusalemu,
kwa paa na kwa ayala wa porini,
Msiyachochee mapenzi,wala kuyaamsha,
Hata yatakapoona vyema yenyewe".
Sasa,mie mapenzi bado hayajaona vyema,na sipo tayari kwa relationship kwa sasa.
Yatakapoona vyema,nitakufikiria.
Duh!
Kweli akutukanaye hakuchagulii tusi!!!
itakua vyema kama ukianza kunifikiria kwanzia sasa kwani chelewa chelewa ntakukuta mwana si wangu tena.
Dah... Da Marry Hunbig waona umetukanwa? Kwani unabebea nini madesa yako..
Salamu zenu wakuu,
husika na kichwa cha Thread hapo juu,
Huyu member bana amekuja siku sio nyingi ila ukweli ni kwamba kila nilipokua napita navutika kwake.
Duuh for the first time nimedondokea kwenye dimbwi la kwake. Nipo hoooii sijiwezi mwenzie.
Pliz mama wewe nipatie nafasi kwenye mtima wako. Madame B, Mr. Rocky, kaka ErickB52, embu nitafutieni huyu mtu. Mkimwona Mwambieni Nimemdondokea.
Nawasilisha.
Biblia inasema katika Wimbo ulio Bora 3:5-"Nawasihi enyi binti za Yerusalemu,
kwa paa na kwa ayala wa porini,
Msiyachochee mapenzi,wala kuyaamsha,
Hata yatakapoona vyema yenyewe".
Sasa,mie mapenzi bado hayajaona vyema,na sipo tayari kwa relationship kwa sasa.
Yatakapoona vyema,nitakufikiria.
mkuu stevohmimi si mwenyeji sana hapa jf ila kwa nnavyoona sumu zako ni grade B ndo mana mtoto anakusumbua. USHAURI:nakushauri rudi darasan kachukue sumu za grade A au mfate jamaa mmoja hivi anaitwa chimbuvu huyu jamaa sumu zake kwa madame bnimezikubali huenda akakupa maujanja na wewe ukang'oa huyo mtoto..