Namtafuta Kyoma Kinyenya Kyoma

Namtafuta Kyoma Kinyenya Kyoma

Tiba

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2008
Posts
4,607
Reaction score
3,188
Ndugu zangu wana JF,

Namtafuta huyu Bwana zamani alikuwa Jeshini kwa maana JWTZ. Kwa sasa sijui yuko wapi lakini nina habari zake muhimu ambazo ningependa nimfikishie. Kwa anayemfahamu na kujua alipo, na labda hata kunisaidia contacts zake nitashukuru.

Natanguliza shukrani.

Tiba
 
Tafadhali mwenye habari zinazoweza kunisaidia kumpata, ani PM.

Natanguliza shukrani.

Tiba
 
Jamani jamani mwenye habari za huyu mtu anisaidie tafadhali!!!!!!!

Tiba
 
Dada majeshi yanapostahafia ndipo yanapoishi ni bora uende makao makuu ya jeshi (MMJ) utapata kumbukumbu zake Kuwa kikosi gani amestahafia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom