Kama haujakwiba, kuchongolea mdomo waheshimiwa ama kula visivyolika, unakuwa na wasiwasi wa nini kuweka pua lako halisi humu?
Ndomaana kuna watu, comments zao zimeenda sana shule, lkn zinachusha kujibu kwa kuwa, kutoangalia sura ya mtu unayeongea nae ni sawa na kuongea na jini.
Tubadilike tuanze kuweka sura zetu halisi,kwakuwa cc ni raia wema tufaidi maisha. Kuweka picha za ajabuajabu kwenye avatar kunachusha kishenz.