Bhagavan
JF-Expert Member
- Oct 28, 2017
- 2,005
- 2,893
Natumai muwazima wa afya wote mnaotumia JF.
Namtafuta rafiki yangu huyu wa muda mrefu sana, ni kitambo sana sijaonana nae yapata miaka 5 sasa na nilipojaribu kwenda alipokuwa anaishi niliambiwa wamehama. Anaitwa FATMA MOHAMMED ni binti mmoja wa kutokea visiwani zanziber ila alikuwa akiishi mwananyamala kwa mama zakaria. Alimaliza IFM mwaka 2015 alikuwa akisomea Barchelor of Accounting. Kwa yoyote aliemaliza IFM mwaka 2015 katika fuculty hiyo kama ana taarifa zake naomba tuwasiliane.
Nawatakia kila la kheri wana JF
.
Namtafuta rafiki yangu huyu wa muda mrefu sana, ni kitambo sana sijaonana nae yapata miaka 5 sasa na nilipojaribu kwenda alipokuwa anaishi niliambiwa wamehama. Anaitwa FATMA MOHAMMED ni binti mmoja wa kutokea visiwani zanziber ila alikuwa akiishi mwananyamala kwa mama zakaria. Alimaliza IFM mwaka 2015 alikuwa akisomea Barchelor of Accounting. Kwa yoyote aliemaliza IFM mwaka 2015 katika fuculty hiyo kama ana taarifa zake naomba tuwasiliane.
Nawatakia kila la kheri wana JF
.

nimemaliza nae...ila kibaya zaidi hata mi sijui siku hizi yuko wapi!

