Namshukuru Allah

Turufuu

Senior Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
182
Reaction score
54
ALHAMDULILAH RABIL-ALAMIN. Mwenyez Mungu kaniruzuk mtoto wa kiume mchana huu MASHAALLAH, mtoto yupo na afya njema na mama yake. Kwa kweli nina furaha isiyokua na mfano mchana huu AMA CNA CHA KUMPA ALLA ISPOKUA NI KUMSHUKURU JAPO KWA UCHACHE WA SHUQRAN kwa kusema ALHAMDULILAH ALA QULLI HALI.
 
Insha Allah tunamuombea kheri na Mwenyezi Mungu amtunze na kumpa afya njema...Na wewe akupe nguvu na hekma ya kumlea katika maadili ya kiislam..
ALHAMDULILLAH RABIL-ALAMIN..!!
 
hongera ila punguza kiarabu kingi.. you r just Tanzanian bhnana.. misifa yote ya kiarabu kiarabu ya kazi gani?
 
Hongera sana. Mungu awakuzie na kuwatunzia mtoto wenu
 
In Shaa ALLAH MWENYEZI MUNGU amkuze awe mtoto wa kheir
 
Hongera Mkuu!! ni jambo jema kuwa na familia na kuwa mtu wa shukrani kwa MUNGU kwa yote!
 

Inshaalah, akue ktk malezi mema.
 
hongera ila punguza kiarabu kingi.. you r just Tanzanian bhnana.. misifa yote ya kiarabu kiarabu ya kazi gani?
Angejaza umombo ungemuona wa maana lakini kwa kuwa Kiarabu mekupiga chenga unalaumu. Acha hizo.
 


kweli mshukuru mungu wako maana misukosuko ilikuwa mingi....
[h=3]Je nimekosea?[/h] Started by Turufuu, 7th August 2014 22:13






kama hujampa jina muite mtoto BAHATI
 
Hongera! Ila usiishie kuchekelea na kujipongeza tu...hakikisha una create bond na mtoto wako kuanzia akiwa mtoto...

 


kweli mshukuru mungu wako maana misukosuko ilikuwa mingi....
Je nimekosea?

Started by Turufuu, 7th August 2014 22:13







kama hujampa jina muite mtoto BAHATI

hahaha...kumbe ndio huyu...kama mimba ilimfanya atamani kutoa msaada wa kumtoa mtu roho...tusubiri thread nyingine ya kulea...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…