Namsaidiaje?

huyo tiyari jamaa keshamgonga cha muhim hapo chukua time zako.na hizi mambo zko sana kwa watu wanaojidai kuwa wako very close sana na mapatners wa wenzao .
 
kwa kifupi kutanisha familia ya jamaa na yakwako mu-discuss inaweza kuwapa mwanga ikishindikana washirikishe wazazi wenu.....
 

Halafu akigundua ni kweli anamkaaaazza????!!
 
Mkuu ni watu wengi sana wanatoka na kazi kuja kufanyia home baada ya masaa, na mimi mwenyewe ni mmojawapo. Na si mara ya kwanza wife kuja na laptop tofauti na yake kuja kufanyia kazi. Sikutilia maanani kwa sababu haiwezekani nimuulize laptop ni yako ama ya kazini kila mara nionapo mpya.
Halafu mke wangu huwa ananiambia vitu vingi sana kwa hiyo saa nyingine huhitaji kuuliza anasema. Sasa mtu kaingia ndani tumeongea kidogo kaniachia vitu vyake kaingia rum. Namuulizaje?


 
Akutane na manyoya mara ngapi??

Hivi kweli mume au mke analeta kitu kipya kama Laptop na haulizwi kaipata wapi??

Nahisi kama kuna ndoa ambazo watu wanaogopana kama maafande!

Babu DC!!


Babu umeonaee... na hiyo Justfriend kama vile anaifuga sanaaa, ndio maana anashindwa hata kufanya maamuzi muhimu ya kulinda ndoa yake. Eti wanakiss kwenye lips, zawadi za madolar.. What!!!!!!
 
Huo ujinga uliulea mwenyewe toka mwanzo,we mwafrika utaruhusu vp mkeo awe na ukaribu na rafiki wake wa kiume namna hyo?
Nimeukuta mkuu na kuna vitu walikuwa wanafanya nikakataza kama nilivyosema hapo awali. Na pia baada ya ndoa obviously ukaribu ulipungua. Nilicholea ni nn?
 

Mkuu PetCash,

Hapa hatuongei nadharia bali yale tunayokutana nayo kwenye maisha yetu ya kila siku.

Ila kama ndiyo maisha uliyozoea kuishi, kiasi kwamba huwezi kuuliza mke wako akibadili vitu muhimu kama laptop, basi jua kuwa wewe ndiye umetoa mwanya wa kufanyiwa yanayokukuta. Na huna sababu ya msingi kulalamika!

Pia nakuomba usome tena hiyo kauli yako hapo chini,





Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Nimeukuta mkuu na kuna vitu walikuwa wanafanya nikakataza kama nilivyosema hapo awali. Na pia baada ya ndoa obviously ukaribu ulipungua. Nilicholea ni nn?

Inaonekana unataka kuwa defensive zaidi badala ya kusikiliza maoni ya watu, ambayo yanatokana na maelezo yako. Badala yake umeanza kuwa mkali. Nakushauri ujibu maswali ya wadau ili wakupe ushauri unaoeleweka.

Kwa maoni ya wengi, it seems you have been grossly irresponsible!!

Babu DC!!
 
fuata huu ushauri ,african culture should remain african culture haiwezekani mkeo leo hii amlilie mtu mwingine kimapenzi halafu useme ni uzungu,huo ni ujinga
 
daaa...
wewe kweli unahitaji ushauri kabla hujakutana na MANYOYA... HorsePower Kaunga gfsonwin
babu @Aspirin ..mkuje huku kushauri jamani.. jahazi lisije zama.

Ushauri wangu ni mchungu sana, sijui kama atauweza ....
Anapaswa kumpa option mkewe achague kati ya rafiki na mume, nani anapenda kuendelea naye ...
Nahisi urafiki wao umevuka mipaka!!!
 
Rafiki pole sana kwa mkasa mzito uliojaa changamoto, ubaya ni kwamba ulikosea tangu mwanzo wa uchumba kwa ku-pretend kukubaliana na uzungu wakati unakuumiza, mchumbako anapigwa kiss mdomoni unatulia eti kwa sababu kuna mwingine alipigwa mchumbake akiwapo naye akakausha, kuwa na msimamo madhubuti palipo sahihi hata kama watu wote watakupinga ama utaonekana mshamba.


Wewe unahisi hakuvuka mipaka ila mimi naona kishavuka bila wewe kujua, inawezekana hawakuwa na mahusiano hapo awali ila hii haitozuia wao kuwa na mahusiano sasa, tena kiukweli ni rahisi kwa baadhi ya wanawake/wanaume kuwa na mahusiano wa watu waliokuwa karibu nao baada ya kuingia kwenye ndoa kwa sababu ni vigumu wenzi wao kugundua mahusiano hayo haramu na hiki ndicho kinachokutokea wewe.

Angalia matukio haya: Mchumba anapigwa busu mbele yako unapuuza, mkeo anapewa zawadi za gharama hujui aliyempa na wala huulizi ila unapuuza, mkeo anatembelewa na so called friend mala kadhaa na ukahisi hawakutaka uwakute ila ukapuuza, mkeo anachati na so called friend kisha unamkuta analia na unamuuliza anakujibu hamna kitu nawe unapuuza, ameyakoroga kwa so called friend mpaka mke kaondoka hata hakukuambia we bado unaona kawaida na hajavuka mipaka. Kaka acha kuwa mpuuzi kwa kupuzia mambo ya msingi.

Chakufanya: Chunguza nyendo zao, mkaribishe raki ya mkeo nyumbani kwako kuwa makini ku-trace mabadiliko yoyote au kama kuna hisia zozote maana mapenzi huwa hayajifichi, ukisha baini kuwa hao watu ni wapenzi ama wanaelekea kuwa wapenzi. Nakuomba simama kama mwanaume kwa mkeo mwambie madhara aliyosababisha kwenye ndoa ya rafikiye na usingependa kuona kitu hicho kinaendelea, yeye ni mkeo na si mke wa mtu mwingine.

Kwakuwa urafiki wao umeshindwa kusitawisha ndoa za pande zote mbili badala yake unabomoa basi hamna haja ya urafiki huo kuwepo, uvunje urafiki huo kwa namna yoyote wabaki tu wanaheshimiana kama watu wengine wa kawaida hapo mtaani, weka masharti mapya kwa mkeo kumbuka hiyo ni ndoa yako tena bado changa mno hata vikwazo bado hamjapitia, hivyo usipo simama kidete kama mwanaume hiyo ndoa itakusumbua. Ni kweli kama ulivyosema kuwa wakiamua kuwa wapenzi ni ngumu kuzuia ila ni bora uonyeshe kuwa nawewe kama mwanaume umeipigania ndoa yako, kama imeshindikana kuzuia wao kuwa wapenzi basi ni bora wafanye kwa kuipa sana kuliko kukufanya zuzu.

Ukweli ni kwamba safari ya ndoa yako bado ni ndefu sana ambapo utapitia changamoto nyingi sana ila sidhani kama kuna changamoto ngumu katika maisha kama ya wanandoa kutokuwa na mwelekeo na mtazamo mmoja juu ya maisha ya ndoa (alignment) hata hivyo hote unaweza pambana na ukashindwa cha msingi muombe sana Mungu muweza wa yote kwanza akuonyeshe kiza kilichoka mbele yako na nyuma ya pazia la ndoa yako kisha aitakase, mpango wa Mungu ni kuifanya ndoa ifurahiwe na wanandoa wote siku zote za maisha yao ila shetani anafanya kinyume chake. Mungu akutie nguvu na akubariki.
 
bestiee nisamehe kwa kuwa mkali sana manake sikutegemea kabisa mtu kama wewe jamb hili likushinde.

ngoja nikwambie principle moja ya kuish na mke, lazima uweke mipaka ambayo wewe unaitimiza kwanza na pia yeye anapaswa kuitimiza.

unapoona wewe huna mahusiano yaletayo maumivu kwa mkeo basi yeye naye hapaswi kuwa nayo na ukiona yapo mweleze wazi akikaidi mrudishe kwanza kwao akajifunze adabu. full stop. mbona ndoa sio ngumu ikiwa baba uko firm??
 
babuu mwanume unabaki kubonyeza laptop 450gbp mwenzio anakubonyezea mkeo.

hii haina tofauti na kwenda na mtoto gesti ukamwacha nje kwenye kiti na mapipi mengiii wewe ukaingia ndani kumaliza yako. sasa mtoto atachezanazoo mpaka achoke wee ushamalizamambo yako.

hahaha!!!!!!!!! nacheka sana eti mwanume unahadaiwa kama mtoto...
 

Mpwa umeanza lini kuitisha vikao vya kuweka terms za ndoa yako.?????
Ni lini mimi na wewe tumepitisha mswada kwamba wake zetu wakiwa wajinga eti tuitishe vikao ili aibu iwe yetu????
Mpwa nataka unijibu ni lini mimi na wewe tumekuwa wadhaifu wa kutaka mamluki kuendesha jambo la black and white??!!!
Yaaani tulivyokatazwa kupiga wanawake jandoni we ukajua hata msimamo huwezi kiweka mpaka vikao????!!!!
Usiniambie lile agano la kuwa hitler mambo yanapotaka kuwa magumu wewe uliliacha kule jandoni!!!!

Yaani wewe mpwa watu8 ukinnita mimi nije na balls hapo kwako uje kuniambia hii maneno mbele ya huyo "mume mwenzio" I guarantee you human rights will be violated and possibly kosa la jinai.
 
Mimi naona bado unalazimika kuongea naye, huenda kinachomsumbua na kumliza ni kuchangia (indirectly) kuharibu ndoa ya best friend wake.

Mara nyingi bond ya best friend ni zaidi ya ndugu au spouse hivyo huyo mkaka anapata comfort kwa mkeo na mkeo anajitahidi kumfariji, kumshauri jinsi ya kurudisha mahusiano yake na mkewe.

kwanini hakukuambia? Nafikiri somehow deep down in her heart anajua unastruggle kuukubali huo 'uzungu' wa ubest friend hivyo alikuspare matatizo au fikra negative kwa kutokukuambia.

Nini ufanye?
Be yourself and confront her, acha kupretend ugentleman au uzungu ambao haunao; mwambie what you are speculating na hata ikiwezeka ifanye isound worse than it is, ili afunguke na akuambie kinachoendelea. By the tone of her voice, a look into her eyes etc utajua ukweli ni upi na uongo ni upi.

Pole sana PetCash
 
Last edited by a moderator:
Hiviiii, kungekuwa na uhusiano wa usiri jamaa angempa zawadi ya laptop best friend wake mbele ya mkewe? Si angekuwa more careful basi angedanganya kuwa alimuagiza (kwa kumpa pesa kabla)?

Halafu what is more romantic, zawadi ya laptop au mkufu?

Sioni mapungufu ya 'umume' wa PetCash kwa kuihandle issue the way alivyoihandle, ila ili apate tulizo he has to spell all his worries kwa mkewe na labda wadiscuss terms zingine ili awe na amani.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…