Wako kwenye level nyingine kabisa. Mpaka mwaka 2015 walikuwa na akiba katika bank ya dunia $ Tilion 20. Kwahiyo wameshatoka kwenye kundi za nchi tegemezi, mpaka kuwa nchi inayojitegemea. Hakuna mambo mengi swana, nimekaa pale Magodisane, West Gabs acha kabisa. Nilifanya kazi kwenye kampuni moja hivi Red Dot Pty, kama adviser tu, ila take home yangu ilikuwa Pula 10k, nina nyumba, house maid na house boy wanalipwa na kampuni. Jamani sijui tumelogwa wapi sisi Tz, Botswana wanategemea madini ya Almasi, na Ng'ombe tu sijaona kingine niwe mkweli. Lakini huku tuna kila kitu, jamani jamani ina uma sana.