Nampongeza Rais Khama wa Botswana

Nampongeza Rais Khama wa Botswana

Ronal Reagan

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,298
Reaction score
3,060
Salaam,

Kwa wingi wetu tutakubaliana kuwa Bara letu la Afrika limekuwa na balaa na tatizo sugu la uongozi mbovu ambao ndio chanzo pekee kikubwa cha ni kwa nini bara la Afrika limebaki nyuma katika ufukara, ujinga, maradhi, vita na masahibu mengine kwa miongo yote baada ya zaidi ya asilimia 95% ya nchi zake kuwa "huru" baada ya kuwafukuza "wakoloni".

Viongozi/watawala wengi wa Afrika wamekuwa ni wabinafsi, wabaguzi, wenye kiburi, wala rushwa na wasio na maono wala uwezo wa kuongozi nchi zao.

Napenda kumpongeza Rais wa Botswana Bw. Ian Khama kwa kuonyesha kwa mara nyingine aina ya uongozi ambao Bara la Afrika linawahitaji. Namnukuu kama alivyosema....

Earlier on Tuesday, ahead of Mugabe's resignation, Botswana President Ian Khama had publicly urged him to resign.

In an open letter published on social media, Khama said "the people of Zimbabwe have for a long time been subjected to untold suffering as a result of poor governance under your leadership".


"It is therefore my conviction that by vacating the Presidency, this will usher in a new political dispensation that will pave the way for the much needed socio-economic recovery in Zimbabwe."

Robert Mugabe resigns: World reaction
 
Africa tunashinda kubwa ya viongozi kuwa laana japo siyo wote lakini wengi wao ni balaa tupu.
 
Huyo ni mtoto wa Sir Seretse Khama.

Ameandaliwa na wazee. Ukoo wao ni ma chifu wa miaka mingi wa WaTswana.

Ni katika sehemu chache duniani ambapo madini yanafaidisha jamii nzima na si wachache walio madarakani.

Botswana Mwanasheria Mkuu wa Serikali alishawahi kujishitaki mwenyewe kwa kushindwa kufanya kazi zake.

Jaribu kufikiria Chenge ajishitaki mwenyewe!

Si mtu aliyesukumizwa tu bila kujiandaa kama Magufuli.

Ukitaka kuangalia story ya baba yake, kama hujaiona, tafuta movie inaitwa "A United Kingdom". Ina story nzuri sana jinsi baba yake alivyostruggle na mama yake huyu rais (mzungu) na jinsi alivyopingwa kuoa mzungu, mpaka baadaye waTswana wakamkubali yule mama mzungu.
 
safi sana mada nzuri kwangu,huyu n0 1 wa Botswana amejipambanua na marais wengine,yupo simple tu muda mwingi yupo pekee bila kuzungukwa na battalion nzima ya walinzi,anapenda pikipiki na yupo pale kwa ajili ya kuangalia masilahi ya nchi yake,few days msafara wake uliingiliwa na msafara wa mkuu wa jimbo la NW hapo SA ,HAKUHAMAKI au KUJUCHUKUA HATUA ZA REVENGE,nina wasiwasi my no 1 msafara wake ukauingilia naona utagombaniwa kama mpira wa kona !!
 
Huyu rais ni mzuri sana. Utakuta anawatembelea watu kijijni na nyumbani kwao na kula chakula kwao. Hakuna hata siku moja utaona mpinzani ama chama cha upinzani wanasumbuliwa. Zaidi anapenda watu wake sana. Hana kiburi, hana majivuno, in short ni mtu wa watu.
 
Salaam,

Kwa wingi wetu tutakubaliana kuwa Bara letu la Afrika limekuwa na balaa na tatizo sugu la uongozi mbovu ambao ndio chanzo pekee kikubwa cha ni kwa nini bara la Afrika limebaki nyuma katika ufukara, ujinga, maradhi, vita na masahibu mengine kwa miongo yote baada ya zaidi ya asilimia 95% ya nchi zake kuwa "huru" baada ya kuwafukuza "wakoloni".

Viongozi/watawala wengi wa Afrika wamekuwa ni wabinafsi, wabaguzi, wenye kiburi, wala rushwa na wasio na maono wala uwezo wa kuongozi nchi zao.

Napenda kumpongeza Rais wa Botswana Bw. Ian Khama kwa kuonyesha kwa mara nyingine aina ya uongozi ambao Bara la Afrika linawahitaji. Namnukuu kama alivyosema....

Earlier on Tuesday, ahead of Mugabe's resignation, Botswana President Ian Khama had publicly urged him to resign.

In an open letter published on social media, Khama said "the people of Zimbabwe have for a long time been subjected to untold suffering as a result of poor governance under your leadership".

Robert Mugabe resigns: World reaction


"It is therefore my conviction that by vacating the Presidency, this will usher in a new political dispensation that will pave the way for the much needed socio-economic recovery in Zimbabwe."
 
Salaam,

Kwa wingi wetu tutakubaliana kuwa Bara letu la Afrika limekuwa na balaa na tatizo sugu la uongozi mbovu ambao ndio chanzo pekee kikubwa cha ni kwa nini bara la Afrika limebaki nyuma katika ufukara, ujinga, maradhi, vita na masahibu mengine kwa miongo yote baada ya zaidi ya asilimia 95% ya nchi zake kuwa "huru" baada ya kuwafukuza "wakoloni".

Viongozi/watawala wengi wa Afrika wamekuwa ni wabinafsi, wabaguzi, wenye kiburi, wala rushwa na wasio na maono wala uwezo wa kuongozi nchi zao.

Napenda kumpongeza Rais wa Botswana Bw. Ian Khama kwa kuonyesha kwa mara nyingine aina ya uongozi ambao Bara la Afrika linawahitaji. Namnukuu kama alivyosema....

Earlier on Tuesday, ahead of Mugabe's resignation, Botswana President Ian Khama had publicly urged him to resign.

In an open letter published on social media, Khama said "the people of Zimbabwe have for a long time been subjected to untold suffering as a result of poor governance under your leadership".

Robert Mugabe resigns: World reaction


"It is therefore my conviction that by vacating the Presidency, this will usher in a new political dispensation that will pave the way for the much needed socio-economic recovery in Zimbabwe."
Wakati ukipongeza jiulize kwa nini magazeti ya Uhuru, Habari Leo na Daily News yamesusia habari ya Mugabe hivyo ni Sasa na kuwaponda!
 
Marais wote wa Swana ndivyo walivyo, ukianza na baba yake, Q Masile, F. Mogae na sasa ni Jr Khama. Wote ni viongozi sio watawala. Wapo kwa ajili ya Botswana, sio Botswana ipo kwa ajili yao. Achana nao kabisa, kila wanachokifanya ni kwa maslahi mapana ya Taifa lao.
 
Huyo ni mtoto wa Sir Seretse Khama.

Ameandaliwa na wazee. Ukoo wao ni ma chifu wa miaka mingi wa WaTswana.

Ni katika sehemu chache duniani ambapo madini yanafaidisha jamii nzima na si wachache walio madarakani.

Botswana Mwanasheria Mkuu wa Serikali alishawahi kujishitaki mwenyewe kwa kushindwa kufanya kazi zake.

Jaribu kufikiria Chenge ajishitaki mwenyewe!

Si mtu aliyesukumizwa tu bila kujiandaa kama Magufuli.

Ukitaka kuangalia story ya baba yake, kama hujaiona, tafuta movie inaitwa "A United Kingdom". Ina story nzuri sana jinsi baba yake alivyostruggle na mama yake huyu rais (mzungu) na jinsi alivyopingwa kuoa mzungu, mpaka baadaye waTswana wakamkubali yule mama mzungu.

Kweli kabisa Al-Watan, jamaa huwa namkubali. Unaweza kusema kwa nchi za Afrika Bw. Khama ni kito cha dhahabu cha uongozi.

Yaani huwa anaonyesha ubora wa uongozi na kipaji cha uongozi kwa staili yake, yule ni sababu ya Botswana kuendelea kustawi na kupiga hatua katika nyanja muhimu mfano uchumi, jamii, elimu, afya nk nk

Kuhusu uwajibikaji na huo mfano wa AG kujishtaki .....kwa Tanzania au EAC nadhani hiyo ni ndoto mfu kwa sasa.
 
Huyo ni mtoto wa Sir Seretse Khama.

Ameandaliwa na wazee. Ukoo wao ni ma chifu wa miaka mingi wa WaTswana.

Ni katika sehemu chache duniani ambapo madini yanafaidisha jamii nzima na si wachache walio madarakani.

Botswana Mwanasheria Mkuu wa Serikali alishawahi kujishitaki mwenyewe kwa kushindwa kufanya kazi zake.

Jaribu kufikiria Chenge ajishitaki mwenyewe!

Si mtu aliyesukumizwa tu bila kujiandaa kama Magufuli.

Ukitaka kuangalia story ya baba yake, kama hujaiona, tafuta movie inaitwa "A United Kingdom". Ina story nzuri sana jinsi baba yake alivyostruggle na mama yake huyu rais (mzungu) na jinsi alivyopingwa kuoa mzungu, mpaka baadaye waTswana wakamkubali yule mama mzungu.


Kuna ile movie inaitwa "Marriage of inconvenience" imeeleza kwa kina sana kuhusu kutakana, kupendana, kuoana pamoja na changamoto walizopitaia wazazi wa Rais Khama, namaanisha Mzee Seretse na Lady Kama.
 
Marais wote wa Swana ndivyo walivyo, ukianza na baba yake, Q Masile, F. Mogae na sasa ni Jr Khama. Wote ni viongozi sio watawala. Wapo kwa ajili ya Botswana, sio Botswana ipo kwa ajili yao. Achana nao kabisa, kila wanachokifanya ni kwa maslahi mapana ya Taifa lao.

Sawa sawa Gullam, tena ukitazama vizuri utaona kubarikiwa sio kuwa na rasilimali nyingi tu bali kuwa viongozi wazuri, watakaotumia na kusimamia hizo rasilimali kwa faida ya wote.

Nadiriki kusema Botswana wamekuwa na marais wanne (4) mpaka sasa hivi toka wapate uhuru mwaka 1966, kama ni kuwapa maksi/gredi basi wote wanne wana alama zaidi ya B+ kwenye uongozi na maendeleo ya watu na nchi ya Botswana:-

Republic of Botswana (Lefatshe la Botswana)
1. 30 September 1966 to 13 July 1980 Seretse Khama, President BDP Died in office

2. 13 July 1980 to 31 March 1998 Quett Ketumile Joni Masire, President Retired

3. 1 April 1998 to 1 April 2008 Festus Gontebanye Mogae, President BDP Retired

4. 1 April 2008 to Present Seretse Khama Ian Khama, President BDP Son of Seretse Khama
 
Sawa sawa Gullam, tena ukitazama vizuri utaona kubarikiwa sio kuwa na rasilimali nyingi tu bali kuwa viongozi wazuri, watakaotumia na kusimamia hizo rasilimali kwa faida ya wote.

Nadiriki kusema Botswana wamekuwa na marais wanne (4) mpaka sasa hivi toka wapate uhuru mwaka 1966, kama ni kuwapa maksi/gredi basi wote wanne wana alama zaidi ya B+ kwenye uongozi na maendeleo ya watu na nchi ya Botswana:-

Republic of Botswana (Lefatshe la Botswana)
1. 30 September 1966 to 13 July 1980 Seretse Khama, President BDP Died in office

2. 13 July 1980 to 31 March 1998 Quett Ketumile Joni Masire, President Retired

3. 1 April 1998 to 1 April 2008 Festus Gontebanye Mogae, President BDP Retired

4. 1 April 2008 to Present Seretse Khama Ian Khama, President BDP Son of Seretse Khama
Wako kwenye level nyingine kabisa. Mpaka mwaka 2015 walikuwa na akiba katika bank ya dunia $ Tilion 20. Kwahiyo wameshatoka kwenye kundi za nchi tegemezi, mpaka kuwa nchi inayojitegemea. Hakuna mambo mengi swana, nimekaa pale Magodisane, West Gabs acha kabisa. Nilifanya kazi kwenye kampuni moja hivi Red Dot Pty, kama adviser tu, ila take home yangu ilikuwa Pula 10k, nina nyumba, house maid na house boy wanalipwa na kampuni. Jamani sijui tumelogwa wapi sisi Tz, Botswana wanategemea madini ya Almasi, na Ng'ombe tu sijaona kingine niwe mkweli. Lakini huku tuna kila kitu, jamani jamani ina uma sana.
 
Back
Top Bottom