Nyabhurebheka
Member
- Apr 11, 2011
- 73
- 24
Duh!! Nilidhan huyu bwana ameshakubalika kumbe bado.. Naomba me nitoe yale yalotokea mwaka 2000, manake uchaguzi huo ulinikuta huko... 1. Jamii ielewe kuwa Said ni mtoto wa Mzee Nkumba ambaye wakati huo ndo alikuwa M/kiti wa CCM mkoa wa Tabora wakati yeye (Said) akiwa mwl. wa primary. 2. Katika kura za maoni jina la Said lilipitishwa kwa mabavu hasa ukizingatia cheo cha babake. Kwa ufupi asingekuwa babake mwaka 2000 asingekuwa mbunge. 3. Kwenye kampeni za uchaguzi Said akitumia gari la chama huku Mzee Kasanga Tumbo (CUF) akitumia baiskeli na mara chache alikodi gari alimbwaga Said. Hata hivyo kwa nguvu za dola na mabomu walimtangaza Said kuwa mbunge wa Sikonge. 4. Baada ya kuwa mbunge ndo akaanza kurekebisha na kujenga nyumbani kwake... Kwa maana hiyo bac, nnao wacwac kama kweli 2005 alishinda kihalali.
2005 na 2010 alichakachua kura za maoni kwa kutumia nguvu ya baba yake na kumdhulumu ushindi mchumi mmoja anaitwa Joseph Kakunda. Kwa kifupi siku zote ushindi wake umekuwa wa kuchakachua.