President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,755
- 89,780
Hili jambo limekuwa linaniumiza sana Moyo wangu. Imebidi nije humu JF niiambie dunia yanayousibu moyo wangu. Mtoto huyu moyo wangu unatembea nae. Jana nimatafakari kwa kina na kuona liwalo na liwe.
Niambieni nitoe Mahari ya sh. ngapi ili Mbowe awe baba mkwe wangu?
Nikimpata Nicole nitahakikisha ninamshawishi naye atajiunga na UVCCM.
Niambieni wanachadema nawezaje kumpata huyu?