masanzu
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 605
- 219
habari zenu wanajamvi
jamani mimi natatizo mmoja kuna binti nampenda lakini shida inakuja pale napotaka kumumwagia sera zangu nashikwa na woga kunapindi nilimpigia simu nikamwambia nashida ya kuonana naye kweli mtoto akaja nyumbani alipo fika kama kawaida woga ilibidi nibadili shida yangu nikajikuta namkopa pesa ingawa sikuwa na shida ya pesa.sas wanajamvi wenzangu naombeni msada nifanye nn kuuondoa huu woga kwa huyu mtoto?
jamani mimi natatizo mmoja kuna binti nampenda lakini shida inakuja pale napotaka kumumwagia sera zangu nashikwa na woga kunapindi nilimpigia simu nikamwambia nashida ya kuonana naye kweli mtoto akaja nyumbani alipo fika kama kawaida woga ilibidi nibadili shida yangu nikajikuta namkopa pesa ingawa sikuwa na shida ya pesa.sas wanajamvi wenzangu naombeni msada nifanye nn kuuondoa huu woga kwa huyu mtoto?