Disminder girl
Senior Member
- Nov 26, 2012
- 156
- 26
- Thread starter
- #21
nashukuru kaka kwa ushauri
wivu nao ukizidi inakuwa kalaha
wivu nao ukizidi inakuwa kalaha
Ukitaka kujijua kuwa unazeeka au umepitwa na wakati...ni pale unapokereka na lugha kama hizi!
Unataka uambiweje? Anakupenda sana ndio maana anakuonea wivu si eti?
Maana hujaweka clue yoyote inayoonesha hakupendi.
Tuambie nini unachotaka ili tukupe kati ya
1: assuarance ya upendo wake kwako au
2: justification ya wewe kumuacha
Coz girl we are equiped with all that!
Ukitaka kujijua kuwa unazeeka au umepitwa na wakati...ni pale unapokereka na lugha kama hizi!