jolly
Member
- Dec 14, 2012
- 34
- 6
Habari za asubuhi wanajamvi.
Mm naomba msaada wenu,mm n binti ambaye nko kwenye mahusiano na kaka ambaye tuko na mahusiano kwa mda mrefu na sasa hivi tupo kwenye hatua ya kuishi pamoja .Tatizo lililopo nikwamba kuna mambo huwa anayafanya mm yananiumiza sana namwambia mwenzangu anaomba samahan na kuniambia ananipenda sana kwasababu nampnda sn naamua kumsamehe,nampenda sn cjawahi kumsaliti na wala sina hata mawazo hayo ila sasa nahisi yy anachukulia hyo kama advantage ya kuninyanyasa kihca....yy anaishi Mtwara anafanya kaz huko na mm n mwajiriwa mkoa wa Mwanza,namshukuru Mungu tuko hatua za mwisho za maandaliz ya haruc yetu maana tunafunga ndoa sept 14.mambo anayonfanyia mpka nahisi hisia zangu kwake zinapungua ,nisaidien Mwenzenu nifanyeje mapenz yangu kwake yasipungue zaid? .
Mm naomba msaada wenu,mm n binti ambaye nko kwenye mahusiano na kaka ambaye tuko na mahusiano kwa mda mrefu na sasa hivi tupo kwenye hatua ya kuishi pamoja .Tatizo lililopo nikwamba kuna mambo huwa anayafanya mm yananiumiza sana namwambia mwenzangu anaomba samahan na kuniambia ananipenda sana kwasababu nampnda sn naamua kumsamehe,nampenda sn cjawahi kumsaliti na wala sina hata mawazo hayo ila sasa nahisi yy anachukulia hyo kama advantage ya kuninyanyasa kihca....yy anaishi Mtwara anafanya kaz huko na mm n mwajiriwa mkoa wa Mwanza,namshukuru Mungu tuko hatua za mwisho za maandaliz ya haruc yetu maana tunafunga ndoa sept 14.mambo anayonfanyia mpka nahisi hisia zangu kwake zinapungua ,nisaidien Mwenzenu nifanyeje mapenz yangu kwake yasipungue zaid? .