Nampenda miss chagga

Nampenda miss chagga

Kwa hiyo watu huwa tunaumiza vichwa kutoa ushauri kumbe mwenzetu unarefresh daah
 
heshima yenu wakuu

mie toka nijiunge humu siyo mtu wa kufatilia life ya mtu wala sipend kujuana juana sana
ila huyu dada miss chagga mie namzimia mbayaa naomba kama hajaolewa anambie nna kaka yangu husband material angefaa sana kuwa wifi yangu nataka nimpeleke kigali!

af mjue ni nini kuna wadada wanajikuta wasafi sana kumbe machangudoa tu, hawana uzuri wala hawajiheshim hata kidg lkn kwa post zao aaaaaah ni malaika!siye kina umu maneno meng meng twaonekana vicheche hahahah

mimi nipo kama nilivyo na ukinchukulia poa me nakuona hamna tu, usimjudge mtu kwa anachokiandika humu
we ar here just kurefresh na kufanya siku iishe n siyo kila tunachokiandika humu ni realty

mpo apo??

Haya Miss Chagga zingatia hayo kwenye RED toka kwa Umukagame!
 
cc: Mr. rocky
heshima yenu wakuu

mie toka nijiunge humu siyo mtu wa kufatilia life ya mtu wala sipend kujuana juana sana
ila huyu dada miss chagga mie namzimia mbayaa naomba kama hajaolewa anambie nna kaka yangu husband material angefaa sana kuwa wifi yangu nataka nimpeleke kigali!

af mjue ni nini kuna wadada wanajikuta wasafi sana kumbe machangudoa tu, hawana uzuri wala hawajiheshim hata kidg lkn kwa post zao aaaaaah ni malaika!siye kina umu maneno meng meng twaonekana vicheche hahahah

mimi nipo kama nilivyo na ukinchukulia poa me nakuona hamna tu, usimjudge mtu kwa anachokiandika humu
we ar here just kurefresh na kufanya siku iishe n siyo kila tunachokiandika humu ni realty
mpo apo??
 
Last edited by a moderator:
heeeeeeeeeee wifi umeshamgeuka tena kaka yangu

cc Mr Rocky
mbona we wifi mbea kaka yako mbahili sana mi ndio maana simtaki bwana... i love u nyingi wallet yake hagusi... tokea nimwambie nampenda pia kaacha kabisa kunipa hatahela ya nauli
 
Back
Top Bottom