Nampenda mdada lakini duh!

Nampenda mdada lakini duh!

Mafaka

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
7
Reaction score
0
JF Mamboz kuna dada nampenda lakn ananizngua sana na ninapenda awe mke wangu. naomba ushauri nifanyeje
 
Pole,nitumie no yake ili niweze kukusaidia kumshawishi,wengi wenye tatizo kama hili nimewasaidia na wakapata wapenz au wasichana wanaowapenda.
 
Leo ijumaa

Ndio maana mada zimechangamka yaani hakuna kusinzia
 
komaa naye kama kweli unaugua sababu yake na mwambie umekuja mzima.
 
akikukataa tafuta mwingine mapenzi siku hizi ni bure hata muda ni gharama.
 
Angekukubali haraka ungeanza 'oh madem are so cheap nowadays,kama unanipenda kweli prove it,KOMAA baba
 
JF Mamboz kuna dada nampenda lakn ananizngua sana na ninapenda awe mke wangu. naomba ushauri nifanyeje

mr Mafaka... samahani lakini, una umri gani sasa??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom