kuna dada mmoja namfahamu toka siku nyingi lakini siku hizi nimetokea kumpenda lkn naogopa kumwambia. Dada mwenye ni msomi kiwango cha mwisho, mstaarab, 36 yrs old na ana uwezo wake lakini yuko serious sana na muda mwingi yuko busy kazini. Nikijiangalia mimi sina tatizo ila elimu, umri na kipato kanizidi. Wandugu nipe njia nitoke vipi?