Nampenda lakini hatambui hisia zangu

Nampenda lakini hatambui hisia zangu

acha kutuchanganya we umpendi wala nini.na uache kuleta mada za hovyooooooo...pumbafffffffffffffffffffffff
 
aiseeee nakuvutia picha unamfungukia jamaa.....hujawahi kuwa na kigugumizi gafla kinakuja...
unaandika meseji mara unafuta,mara unaandika tena..
Ukiwa unapiga simu unaomba asipokee wakat umepiga mwenyewe....

Jipige kifua tu elezea hisia mwaya japo ni mtihani sana kama hunaga hayo.....
ICHANA darl...gongelea nondo

ha ha ha chezea hisia weewe....uje nikupe nondo zako na wewe cos naona huelewi picha nalo hutambui tembele

mila zetu ni kweli haziruhusu ila sio vizri ufe na hisia zako...fanya matendo mwanamke umejaliwa uzuri,sauti nzuri tna 21 za mahaba kweli mwambie tengeeza mazingira..
piga simu kuwa na tabia ya kumsalimia japo ni ngumu...tuma sms za salamu safari moja huanzisha nyingine
 
Huwa nawashangaa sana watu wengine. unatoa mada, watu wanajituma kukushauri thread iko page ya pili, huonekani kuja kucoment chochote wala kuappreciate comment za watu....na mara nyingi watu wa aina yenu huwa hamna uhalisia/uhusika wa yale mnayoyaleta jukwaani.
eh semekiii
naomba nikuhug
af na kukuchum
ndo nn kufanya nikumiss kama nyanya chungu kwenye kachumbari?
 
Back
Top Bottom