Una miaka mingapi?
Hyo ni tamaa ya kubarehe tu, ukikutana na kiguu cha kichanga mbona utatulizana tu
Lol ni kwel mkuu
Una miaka mingapi?
Hyo ni tamaa ya kubarehe tu, ukikutana na kiguu cha kichanga mbona utatulizana tu
Mkubalie tu, mi sikupendi tena.
Mhmm hayo makitu ya kuanzaga kumfeel mwanaume ambaye hana hata dalili za kukupnda aisee em potezea ni kujitesa ty
siwezi kumwambia kama ambavyo si mila yetu wa Afrika kumtamkia mwanaume kuwa unampenda
kwa nini mnatuogopa wanaume? hatuko hivyo kama mnavyofikiria, ukimfeel mwanaume cha kwanza hakikisha unazo angalau sifa za kike I mean muhimu zaidi muonekano, simaanishi uwe mzuri sanaaa hapana, kwanza wanaume wengi hawapendi mademu wale wanaoitwa mademu wakali wa ukwe'he.
hii ni free world express ur self, kama siku hizi mna uthubutu wa kuwavulia chupi rika la baba zenu ndio unaogopa kudate na kijana mwenzako? tena mwanamke akimtongoza mwanaume huyo ndio waukweli kwa mtazamo wangu.
Tafuta kitu cha kukuweka nae Karibu...muombe akusaidie kitu.. jifanye simu yako inakusumbua settings..muombe akusaidie...
Kuna kijana mmoja nimetokea kumpenda sana, yani upendo wa kweli kutoka moyoni mwangu, lakini siwezi kumwambia kama ambavyo si mila yetu wa Afrika kumtamkia mwanaume kuwa unampenda nifanyeje aweze kuelewa hisia zangu.
Maana ni mwezi sasa nagumia maumivu sijui nifanye nini?
Kwa jina lako lilivyo nashindwa kuamini umeshindwa kumuambia hisia zako kwake!!!!!
Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
Tafuta kitu cha kukuweka nae Karibu...muombe akusaidie kitu.. jifanye simu yako inakusumbua settings..muombe akusaidie...