Kuna kijana mmoja nimetokea kumpenda sana, yani upendo wa kweli kutoka moyoni mwangu, lakini siwezi kumwambia kama ambavyo si mila yetu wa Afrika kumtamkia mwanaume kuwa unampenda nifanyeje aweze kuelewa hisia zangu.
Maana ni mwezi sasa nagumia maumivu sijui nifanye nini?
Maana ni mwezi sasa nagumia maumivu sijui nifanye nini?