Nampenda lakini hanijali

Ahsante mpenzi..i have healed,nipo sawa kabisa namshukuru mungu alhamdulillah!
 

pole mimi49

kama kuna kitu baadhi ya wanaume wanakikosea kwa wapenzi wao ni hiki.

mwanamke anapenda na anatamani siku zote uonyeshe kumjali/kumpenda .. na mara nyingi vinavyohitajika ni vitu vidogo dogo sn ila wahusika hawajui.

wengi wanafikiri kumpatia m.ke fedha au zawadi kubwa ndio kuonyesha mapenzi la hasha.
 
Last edited by a moderator:
Kweli kabisa mpendwa..vitu vidogo kama hivyo ndio vinamata sana lakini wanaume wengi hata hawavitilii manani...sijui kama kuna mwanamke asiyependa kujaliwa atakuwa hajazaliwa bado....Yaani ukiniambia nichague PESA au CARE i will guarantee you i will choose CARE....labda kwasababu mimi nipo very sensitive i dont know:A S 39:
 

kwan nyie wanawake tafsiri ya care ni nn
s kupewa mo hela tuu
 
kwan nyie wanawake tafsiri ya care ni nn
s kupewa mo hela tuu
"Nadhani ukisoma ulichoquote utaelewa kwamba pesa haina thamani kwangu"kucare sio kupewa pesa bali kumjali mtu emotionally..kuwepo anapokuhitaji,kumthamini inahusika zaidi na hisia;kuzijali hisia za mwenzako!n.k
 
Duh... ur story has really touched my heart!
Pole sana... kina Eli79 wapo kibao..... teeh!
Utampata wa kukupenda na kukujali tu..
 
Last edited by a moderator:
Pole jamani mydia, unavyoandika ni kama nakuona machozi yanalengalenga kwa uchungu na hasira, sisi wanaume ni wabaya sana wakati mwingine. Mungu atusamehe

yani we acha tu.....nilikuwa nalengwa na machozi for real........

roho yangu imeniuma sana......
 
mngu aliumba Dunia mapenzi tangu na tangu yalishanipata sasa sina budi nielewe siwezi kung'ang'ania huwenda sio fungu langu najua ni shida ila itabidi nibaki mwenyewe chezea weye hawafai vs walaghai
 
jamani pole my dia hawa ndo wanaume zetu

wadada wakisema waeleze hapa utashangaa utaona bora ww.
bt cha msingi kuikubali hali halisi with tym unakuwa ok.
 

Jamani mbona unamtetea huyo mbwiga? hivi wewe umpigie mpenzi wako kumjulisha unaumwa anakujibu unamkatiza usingizi kwa ugonjwa wako ni sawa? Kwani kujibu kunahitaji shilingi ngapi? kwa taarifa yako huyo baba mtoto wako wala hakupendi. anayempenda anampigia cm kumuuliza hali yake na kumuwish get well soon kila mara
 
nipo poa mpenzi thnx for asking!
ok nashukuru kama unaendelea vizuri dear ..u can always count on me even outside jf my dear!temana nae kabisaaa kama ni mtoto tutamlea hata kama ni kwa dagaa na mlenda
 
Muombe Mungu sana,if he isnt the man for you Mungu anajua jinsi ya kumuondoa..
sometimes unaweza kupenda na kujiona dhaifu(that you cant move on)ila kuna nguvu kubwa inayokuja when you tune your mind in letting things go..
jione unathamani kubwa sana mbele za Mungu!change begins with you,ila tu pale unapoamua.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…