Nampenda lakini basi

Habari zenu waungwa,
Nna jambo langu linaninyima usingizi, Kuna Mpenzi wangu wazamani sana nilidhani alikua ananipenda lakini nimegundua hanipendi au ananitumia tu
nilikua nae kwa mda wa miaka 8, ghafla nilikua na mimba yake akasema hayuko tayari niitoe,kwakua sikua na nia mbaya na yeye nikasikia kua anamtoto wa njee huku akisema nakupenda mpenzi nakupenda, sikutaka hata kumueleza nini kimetokea nimemwandikia ujumbe mfupi kua mimi na yeye basi sababu nimemueleza mdogo wake amenatosha kumueleza lakini maumivu nilionayo anajua Mungu,naombeni msaada wenu,lakini kurudi sitaki.

cut your losses and show the loser the exit door...........................you deserve more than what he is willing to give u....................................keep the Baby since it is not from our BIG LOSER but a blessing from the Almighty God..........................................Keep our Creator in the first place He is gonna take u places u never imagine were kept just 4 u..........................
 
Dah inauma sn...pole sn mamii..hakyanani mie cji kutesa mwanamke
 
Bint tulia, ucrejee kwa huyo sela tena... nakushauri kwamba utakapompata mchumba mwingine, uckubali akuchezee..,mwambie akuoe km anakulove for real, ucje ukaona dunia chungu kwa dhulma ya mapenz unayopata sasa lady..okay!!
 
Pole Dada kwa yalio kufika, Huu sio mwisho wa maisha, Tulia na jaribu pole pole kumtoa akilini huyo jambazi!, najua ni vigumu lakini jaribu. Usijaribu wala kuthubutu kufikiria kumtoa huyo mtoto, kwani atakuja kufaa na ndio atakae kupenda kuliko yeyote humu duniani. Chukulia hili jambo kama fundisho(Wasomaji pia naomba msome). Wakati woote usimpende Binadamu mwenzio na kumpa roho yako yoote, Binadamu ni binadamu!!!!!!!!
 
Habari zenu waungwa,
Nna jambo langu linaninyima usingizi, Kuna Mpenzi wangu wazamani sana nilidhani alikua ananipenda lakini nimegundua hanipendi au ananitumia tu
nilikua nae kwa mda wa miaka 8, ghafla nilikua na mimba yake akasema hayuko tayari niitoe,kwakua sikua na nia mbaya na yeye nikasikia kua anamtoto wa njee huku akisema nakupenda mpenzi nakupenda, sikutaka hata kumueleza nini kimetokea nimemwandikia ujumbe mfupi kua mimi na yeye basi sababu nimemueleza mdogo wake amenatosha kumueleza lakini maumivu nilionayo anajua Mungu,naombeni msaada wenu,lakini kurudi sitaki.
Duu! miaka nane umekuwa naye halafu ghafla ukawa na mimba yake!
 
Pole dada, jipe moyo, usimtende Mungu dhambi nyingine ya kuitoa hiyo mimba wala usihangaike na hilo limtu lisilojali hisia na maisha ya watu. Simama omba neema ya Mungu ikuvushe hapo salama. Huyo mtoto Mungu akikujalia ndiye atakayekuwa furaha na faraja yako, ndiye atakaye kupenda wewe. Dunia yote yaweza kukugeuka lakini mtoto wako atasema huyu ni mama yangu. Na huyo anayesema umuue sasa atakuwa anayakumbuka hayo maneno yake kila atakaposikia na kumuona huyo mtoto.

Hakuna cha kuongeza..ushauri ndio huo hapo juu..mshukuru aliyekupa ushauri na ufayie kazi.. All the best!
 
  • Thanks
Reactions: LD
Back
Top Bottom