katunion
Member
- Mar 23, 2016
- 60
- 44
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji16]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji16]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Atakua kasoma seminariFunguka kwa uwazii kabisa...eboooo! We mwanaume gani muoga ivo
Baby Jolie nakusubiri kule Pamoja Mpakani (PM) mbona unanifanyia hivyo come on.Atakua kasoma seminari
Mr zero si nilikwambia situmii pombe kaliBaby Jolie nakusubiri kule Pamoja Mpakani (PM) mbona unanifanyia hivyo come on.
Sawa najua hautumiii basi fungua tu kidogo tutembee Pamoja Maishani (PM)Mr zero si nilikwambia situmii pombe kali
I love you[emoji28]Atakua kasoma seminari
Ila ndugu, tujitahidi tusidharau MTU kwa maumbile au jinsia. Hakika tunajisahau sana. Hakuna haja ya kumshushia hadhi yake kwa namna alivyo. Huyu ni mtoto wa wazazi Fulani, mama wa watoto Fulani, Dada yake na akina Fulani.Kumla hapana limenenepa sana.manyama kibao limtumbo hiloo ule mvuto wote umepotea.kweli acha waringe tuu sasa hivi hawa madem huwa wanakongoroka vibaya sana
Urafiki kwanza then mechiNdugu wanajamii forum kwanza nawasalimu wote popote mlipo... Huku imani yangu ikiambia hamjambo.
Basi kwa pamoja wanawake kwa wanaume members wa jamiiforum naomba munisaidie njia za kumpata msichana nimpendae. Naamin wadada ndio mtanipa njia mzuri zaidi. Je! Huyo mchumba ulienae au mchepuko ulionao au mume ulienae alitumia njia gani kukushawishi mpaka ukamkubali hadi kufikia hapo mlipofikia??????
Brothers nanyi nisaidie boy mwenzetu njia mzur ya kutumia ili nimpate bint ambae imetokea kumpenda ila nahisi nikimuambia hatanikubali.. Nitumie njia zipi ili nimshawishi anikubali?????
Msaada wenu tafadhali........
Kudadeki!!!! Kwann wanawake hawajapewa ujasiri wa kumwambia mwanaume kuwa nakupenda???Kuna bidada mmoja hapa jirani yangu toka zamani nampendaa balaa lakini kumuanza ikawa shida.kila nikikutana nae tunaangaliana muda mrefu nikajua tu huyu dada anatamani asikie chochote kutoka kwangu!lakini ajabu nikakaa kimya hata salam hakunaga.baadae jamaa limoja likamuwahi likamzalisha watoto wawili.karibuni hapa ndo tukaanza kusalimiana na kuzoeana!ndo nikamtania nilikuwa nakupendaga weee!akanijibu yaani kipindi kile nikikuona tu nilikuwa naloa.yaani hata ungenishika mkono bila kusema chochote ungenikula