Nampenda ila kumuambia naogopa.....

Nampenda ila kumuambia naogopa.....

mkolaj

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2014
Posts
3,023
Reaction score
1,092
Ndugu wanajamii forum kwanza nawasalimu wote popote mlipo... Huku imani yangu ikiambia hamjambo.
Basi kwa pamoja wanawake kwa wanaume members wa jamiiforum naomba munisaidie njia za kumpata msichana nimpendae. Naamin wadada ndio mtanipa njia mzuri zaidi. Je! Huyo mchumba ulienae au mchepuko ulionao au mume ulienae alitumia njia gani kukushawishi mpaka ukamkubali hadi kufikia hapo mlipofikia??????
Brothers nanyi nisaidie boy mwenzetu njia mzur ya kutumia ili nimpate bint ambae imetokea kumpenda ila nahisi nikimuambia hatanikubali.. Nitumie njia zipi ili nimshawishi anikubali?????

Msaada wenu tafadhali........
 
IMG_3088.JPG
fanya hivo
 
Dawa ya kikohozi ni kukikohoa tu.

Unamchana live halafu unampotezea kama humjui vile kama hujawahi hata kumueleza.
 
usimwambie
labda kuna kitu kinakuzua kutoka kwa ndani ila unafikiri unamuogopa

sikiliza nafsi yako inayokukataza
 
Kuna bidada mmoja hapa jirani yangu toka zamani nampendaa balaa lakini kumuanza ikawa shida.kila nikikutana nae tunaangaliana muda mrefu nikajua tu huyu dada anatamani asikie chochote kutoka kwangu!lakini ajabu nikakaa kimya hata salam hakunaga.baadae jamaa limoja likamuwahi likamzalisha watoto wawili.karibuni hapa ndo tukaanza kusalimiana na kuzoeana!ndo nikamtania nilikuwa nakupendaga weee!akanijibu yaani kipindi kile nikikuona tu nilikuwa naloa.yaani hata ungenishika mkono bila kusema chochote ungenikula
 
Wa seminary mna nini lkn kusema tu nakupenda nayo ni shida
Haahaha!!! Shida yetu ni kuwa wale wadada wa shule za girls tuliaminishwa ni Dada zetu,na wale masister ni kama malaika wa mungu.so we grew up with such belief.Leo tunafika chuo tunagundua kuwa we were too far to real world .we believed much in water and soap
 
Kuna bidada mmoja hapa jirani yangu toka zamani nampendaa balaa lakini kumuanza ikawa shida.kila nikikutana nae tunaangaliana muda mrefu nikajua tu huyu dada anatamani asikie chochote kutoka kwangu!lakini ajabu nikakaa kimya hata salam hakunaga.baadae jamaa limoja likamuwahi likamzalisha watoto wawili.karibuni hapa ndo tukaanza kusalimiana na kuzoeana!ndo nikamtania nilikuwa nakupendaga weee!akanijibu yaani kipindi kile nikikuona tu nilikuwa naloa.yaani hata ungenishika mkono bila kusema chochote ungenikula
Cum...am...aye... Ukamuacha hata bila kumsugua k yke kama unasugua sufuria na steel wire.
 
Back
Top Bottom