nampenda H.MDEE jamani !

nampenda H.MDEE jamani !

Joined
May 15, 2013
Posts
80
Reaction score
10
nimevumilia sana jamani but huyu mdada mi nampenda sana.sauti yake,swaga zake sio za kisister duu ndo nakwisha kabisa namtafuta sana kama mtu akimuona anifikishie ujumbe wangu.alafu nashangaa mkononi hana pete ya ndoa mi nitamvalisha ntampa mapenzi motomoto na hata jutia kuwa na mimi.halima please i love you.mimi ni kijana ambaye anakufaa sina mademu wengine najua kupenda kaelimu kangu kazuri njoo tujenge familia tafadhali.
 
Ingia tovuti ya bunge utapata mawasiliano yake!

Hujakosea kumpenda ni haki yako pia haki yake kupendwa! Ni mzuri na hasa hiyo sauti yake ya kukauka na kukwaruza itakusuuza zaidi akiwa mkeo!

Mh. Halima; dili hiloooooo
 
Ingia tovuti ya bunge utapata mawasiliano yake!

Hujakosea kumpenda ni haki yako pia haki yake kupendwa! Ni mzuri na hasa hiyo sauti yake ya kukauka na kukwaruza itakusuuza zaidi akiwa mkeo!

Mh. Halima; dili hiloooooo

si ndio wangu.nampenda kwa vitu vingi tu itakuwa noma shehe asipochoma ubani.
 
nimevumilia sana jamani but huyu mdada mi nampenda sana.sauti yake,swaga zake sio za kisister duu ndo nakwisha kabisa namtafuta sana kama mtu akimuona anifikishie ujumbe wangu.alafu nashangaa mkononi hana pete ya ndoa mi nitamvalisha ntampa mapenzi motomoto na hata jutia kuwa na mimi.halima please i love you.mimi ni kijana ambaye anakufaa sina mademu wengine najua kupenda kaelimu kangu kazuri njoo tujenge familia tafadhali.

Hana pete ila ana ujauzito, anzia hapo!
 
Likini Mr Mr lover lover hilo penzi lako la dhati linahitaji chachandu na mbolea kulipalilia na mbolea yenyewe ni dinari we si unaona yale mamigodi anayokupigia?kweli utaenda tu huna hata bajaji umwambie unampenda kwa dhati akuelewe?bongo hii wanaume mlivyo after opportunity me naamini hatakuelewa ni hayo tu kila la kheri.by the way me nafiria mwenye pesa kama mimi ndio aniwowe
 
Last edited by a moderator:
Ongea na Mh Nassary kwanza uone kama amemtema ama laa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom