Mr lover lover
Member
- May 15, 2013
- 80
- 10
nimevumilia sana jamani but huyu mdada mi nampenda sana.sauti yake,swaga zake sio za kisister duu ndo nakwisha kabisa namtafuta sana kama mtu akimuona anifikishie ujumbe wangu.alafu nashangaa mkononi hana pete ya ndoa mi nitamvalisha ntampa mapenzi motomoto na hata jutia kuwa na mimi.halima please i love you.mimi ni kijana ambaye anakufaa sina mademu wengine najua kupenda kaelimu kangu kazuri njoo tujenge familia tafadhali.