Nampenda Changudoa

Nampenda Changudoa

ASEH, KUNA BINTI TULISOMA NAYE PRIMARY ALIKUWA MALAYA ALIYEKUBUHU. ALIGAWA URODA KAMA NJUGU KUANZIA KWA WANAFUNZI WENZAKE HADI KWA WATU WA MTAANI. BINT ALIKUWA ZAID YA MAHARAGWE YA MBEYA YANI UKIOMBA PAPUCH ANAKUPA BILA HIYANA. BAADA YA KUMALIZA O LEVEL YULE DADA ALIHAMIA DAR AKAPATA MWANAUME ALIYEKOLEA BEI NA UTAMU.

HUWEZ AMIN YULE BINTI KABADILIKA AMEKUWA ZAID YA MLOKOLE AMEOLEWA NA ANA WATOTO WAWILI. WAMEJENGA NA AMEKUWA MAMA MZURI WA FAMILIA. ANA MSMAMO NA KIUFUPI AMEACHA USHETAN

YOTE YANAWEZEKANA MKUU. Jaribu kuzungumza naye kwa kina
 
jirani yangu hapa alioa akazalisha watoto wa tatu yani huyu mama anagongwa na wanaume tofauti na si kwamaba anashida ya pesa ni hulka tu.. juzi kafumaniwa na dereva daladala kwenye kichumba cha ajabu wakati home kaacha nyumba kubwa mwanaume akisafiri siku mbili analeta mwanaume ndani... mwanaume sijui kalogwa yule me hata sielewi
Aisee kumbe tunaish mtaa mmoja..nilishuudia hilo tukio

miss chagga fanya tuonane jiran 🙄
 
Kwanza ujue uchangudoa upo wa aina nyingi na sisi tunaangalia wanajiuza kwenye madanguro tu huku tukiwaacha wanajiuza wakiwa nyumbani kwa wazazi wao, yaani unamfanya mpenzi wako lakini anachotaka kwako ni pesa na huku ana mtu mwingine pia. Hao ni machangudoa tu. Kiufupi kuna sababu za hao akina dada kujiingiza huko ila wengine sio maisha waliyoyachagua.
Pia ni bora kujua kabisa kuwa huyu unayemuoa alikuwa anajiuza na ameamua kuacha na kuwa mke kuliko kuoa kahaba usiyemjua na kumbatiza jina la mtoto wa geti kali kumbe ni zaidi ya kahaba na vituko utaviona ndani.
Hao ni wanawake kama wengine na wana heshima zao kama wengine na ni wanadamu wanaobadilika kwahiyo ukikutana naye na moyo wako umemuangukia basi fanya uchunguzi wa kina halafu amua kuendelea au la kutoka na majibu ya uchunguzi wako.
Hadi sasa moyo wako unakuambia huyu ni mwanamke ambaye anapaswa kuwa mke wako, nami nakushauri OA TU. tuletee na kadi za michango mkuu. Serious!
 
Toa sababu.
Mtu kama huyo sio mvumilivu, i mean huyo mwanamke anayejiuza cause kuna njia nyingi za kujikwamua kimaisha , hivo bas ata uyo jamaa siku akishindwa kumpa mahitaji yake nini kitamzuia asiende tena kujiuza ,na ndio mwanzo wa kupata magpnjwa na maisha kuharibika
 
JARIBU KUTAFUTW CHANZO CHA YEYE KUA CHNGUDOA...MCHUNGUZE ANAIMAN GAN KUHUSU KUA NA WATOTO NAKUISHI NAMWANAMME ...

KATIKA HAYO YOTE ,,WEEE UWE UNAMCHUNGUZA UKU UKIENDELEA KUMNUNUA ILI ASIJUE NIA YAKO.

UKIONA ANAMIPANGO YABFAMILIA....UKIONA ANAKUAMBIA ALIJIINGIZA SABABU YA UGUMU WAMAISHA ..... MBADILISHE ANAFAAA KUA MKE ...NAKWASABABU NAYE ATAKUA YUPO TAYAR KUACHANA NAHUO MZIGO BASI NAYE ATABADILIKA NAKUA ANAYEKUFAAA. NAKWAMWE USIMJUTIE.
 
Kuna mtu ananiambia Mapenzi na Ndoa havishauriwi ...n ww na akil yako.. na Mungu pia Muuombe sana akupe Maamuz mazur ..
 
acha kabisa hiyo tabia,na huyo dada achana nae,kijana mdogo unataka kufipisha maisha yako kwanini,,,
 
Ongea nae kwanza mkuu anaweza tulia sio wote wanafanya hiyo shughuli kwa kupenda
 
Kuna jamaa alifuga kunguru, yule kunguru alikaa kwenye cage kwa mwaka mzima na jamaa kila akimcheki anaona huyu kashazoea mazingira hata nikimfungulia huenda atakuwa anarudi jioni kama kuku wafanyavyo. Ile kumfungulia tuu kunguru akapotea mazima kama hawajuani vile.
 
jirani yangu hapa alioa akazalisha watoto wa tatu yani huyu mama anagongwa na wanaume tofauti na si kwamaba anashida ya pesa ni hulka tu.. juzi kafumaniwa na dereva daladala kwenye kichumba cha ajabu wakati home kaacha nyumba kubwa mwanaume akisafiri siku mbili analeta mwanaume ndani... mwanaume sijui kalogwa yule me hata sielewi
Mna maana basi nyie? Hata iweje huwa hamridhiki.
 
Ushauri wangu ni huh:
Jaribu kumdodosa kwa kumuuliza maswali mfano unamalengo gani au ndo kila siku kugongwa tuu maisha yako yote? Msikie atakujibu vp halafu jibu lake litafakari.
Pili muulize hivi kwa mfano kwny kazi yako hii likatokea jamaa limekuelewa linataka kukuchukua kuishi nawe au kukuoa kabisa itakuwaje?
Tatu unaweza muuliza, hv unajua kuna wengine kwenye shughuli yenu hii wamejaa minye.ge ndo mana wakaona wajiajiri hivi vipi wewe imekuaje kuaje na wewe ukaingia katika issue hii? Hii ni technic tuu asijue kama unamchimba

Baada ya kupata majibu ya maswali nafikiri utapata mwanga wa kusuka au kunyoa.
 
kwa maelezo yako Mkuu yapo nusu nusu...hivi zaidi ya kumjua wakati wa kula hio papuchi yake kuna lingine.
Sisemi hana sifa ya kua mke hapana mbali inabidi umjue zaidi ya kumkuta baa na kitandani.
Ungeamza na kumwambia unahitaji mahusiano nae hivyo aache kujiuza...akikumbali jipe muda hata wa mwaka kumfahamu na kama idara zingine pia mtaedana basi mtaupeleka huo uhusiano hatua ya mbele zaidi.
 
Back
Top Bottom