Habari zenu wana jf, mimi ni kijana wa miaka 23 niko mwaka wa kwanza muhimbili nachukua shahada ya udaktari, kuna mdada nimemzoea sana na nimetokea kumpenda sana na natamani awe mpenzi wangu, tatizo ni kwamba yeye anichukilia kama rafiki wa kawaida na ukaka ndani yake, ni fanyeje ili aanze kuwa na hisia za kimapenzi kwangu? Kifupi nmfanyeje aanze kunipenda ili nikimtongoza iwe rahisi kumpata?