kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,930
- Thread starter
- #21
shukranihata hayo maisha mazuri unayoyaona kwa familia ya huyo binti ujue kuna mwanaume alipambana..!,bado una muda wa kupambana na kufika walipo na hata kuwa zaidi yao as long as hujakata tamaa,weka kwanza vigezo vya mke unayemtaka mbele kama hajafit kwenye vigezo vyako na pia nafsi yako inakupa mashaka move on mkuu, usiendeshwe na woga wa maisha na mapenzi achana na hilo jipu kama hana values unazotaka.wazee walisema kosea vyote ila usikosee kuoa.
Sent using Jamii Forums mobile app